JF Exclusive: The Buzwagi Contract

invisible u dont have to wory, ndio ukubwa wa JF huo, Let them know kuwa kuna serious pple discussing serious issue.
 
shamba la bibi siku zote watu hupita na kujichumia watakavyo.... nadhani ili watanzania wengi wapate kujua ukweli wa jinsi nchi yao inavyoliwa na wao kubaki kuwa mafukara wa kunuka ni vyema ukatafsiriwa ktk lugha mama na kusambazwa kwa watanzania wengi iwezekanavyo. hakuna haja ya kuwa na serikali ya hiki chama cha sisi mmmh ambacho kina-walafi wasiokuwa na chembe ya huruma na nchi yao maskini yenye utajiri mkubwa ... wananchi tuamke tutambue kuwa ccm si baba wala mama yetu kuwa waendelee kuboronga na sisi tusiwe na jinsi zaidi ya kuendelea kuwa nao....
 
Mheshimiwa Invisible,

Msome kwa makini CMB. Hakuna wa kukugusa, tena wewe umeficha ficha, angalia sasa CMB kaweka wazi bwaaaa... na hawa THISDAY na KULIKONI waliweka hadharani, na wapinzani waliugawa kama njugu,, nchi imebadilika na wananchi sasa WANA KIU KUBWA YA MABADILIKO, TUSIRUDI NYUMA.. JK alipata URAIS KUTOKANA NA KIU YA MABADILIKO, KARUME ALIPATA URAIS ZNZ KWA SABABU NDANI YA CCM WALITAKA MABADILIKO. MABADILIKO SI LAZIMA YAWE YA UPINZANI TU, HATA YA KIFIKRA, KIUTENDAJI NA HATA HAO MA SISI EMU WANAWEZA KUAMUA KUBADILIKA. CHA MSINGI TUANGALIE MASLAHI YA TAIFA, USALAMA WA TAIFA NA SI MASLAHI YA WACHACHE NA USALAMA WA WACHACHE
 
Mheshimiwa Invisible,

Msome kwa makini CMB. Hakuna wa kukugusa, tena wewe umeficha ficha, angalia sasa CMB kaweka wazi bwaaaa...

Haha nah, I fear nothing buddy. Nalishtuka kuwa kumbe kuna walioweza kuudadafua na kuujua muziki ule. Was such a nice song buddy.

Mengi yamenikuta lakini si tatizo... Dhamira ni njema kabisa na ukweli ukijulikana daima unamuweka mtu huru. Tatizo ukweli mwingine ukiujua unabakia kujilaumu kwanini umejua maana...!
 
...... What?!?

:(

Dont worry Invisible.. this is a good turn, a free advertizement for our beloved JF

am sure wengi wataingia JF kupitia kusoma article hiyo, lakini furaha yangu zaidi ni kwamba kila atakaye ingia humu hato toka bure, lazima atatoka ameongoka kumkoma nyani mchana kweupe!!! Moto kwa kwenda mbele hakuna kurudi nyuma.

Kitaeleweka tu!.
 
JF KIDEDEA.....eeeh!x 50,000
You made my day!

Mama Lao, the game continues. Kuna mambo mengi yamesitirika. ThisDay ndio kidedea kwa kufikisha ujumbe kwa wananchi huko nyumbani ambao sina hakika kama wana access ya internet kila mahala. We love our country Tanzania, penye kustahili pongezi tutapongeza (mfano juhudi za kuitangaza nje Tz) lakini penye mapungufu we're sorry... We dare to talk Openly! Tutayaanika tu.
 
Hivi tunaweza kuupitia kipengele kwa kipengele kwa wale waliobahatika kuupitia vema? Au mkubwa sana kiasi inahitaji mwezi kuupitia wote?

Natumaini tunaweza kuchambua kipengele kwa kipengele na kuona faida zake kwa taifa letu na kama kuna hasara tuziainishe kwenye topic hii na hata ikibidi tutoe mapendekezo yetu. Lawama tu nadhani hazitotosheleza bila kutoa hitimisho juu ya nini kifanyike na nani afanye hivyo na kivipi.

Ni mawazo tu
 
Kila mtu aliambiwa ajiweke kopi yake sasa wewe naona ulichemsha. Teh e teh eteh.................Bye.
 
Wakuu,

Unajua gazeti la maana kama Thisday kuiongelea Jamboforums kwa kiasi hiki na mafanikio makubwa sana kwa jamboforums. Hongera wote mlioifikisha hii forum hapa ilipo sasa.

Buzwagi contract finds its way onto Internet

-Chat room members refer to it as the 'Tanzanian song'

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

THE entire text of the Buzwagi gold mining contract has now been leaked onto the Internet in the wake of the intense political storm generated in Tanzania by the controversial signing of the agreement in London last February.

A PDF file of what appears to be every page of the 24-page document was posted this week on the Internet chat room Jambo Forums, creating an immediate stir amongst visitors to the popular website.

The photocopied-then-scanned document is barely readable in some sections, but contains ink-pen markings to imprint missing words and highlight some of the more controversial articles of the agreement.

Although the document was posted on the website this week, it has been 'hidden' in a folder for closed topics where those in the know can access the agreement and engage themselves in the interesting chat room debate now underway.

It is unclear how the document came to be on the web or where it originated from, but some members of the Internet forum appear to now have restricted access to its contents and are discussing them (contents) in code language.

For example, the forum members have codenamed the document as 'music' and its 24 pages are referred to as 'minutes.'

''Enjoy the music...'' said the anonymous member who first posted the document on the website under the subject 'For Your Information.'

Immediately thereafter, there was a flurry of activity in the chat room with other members posting their views on the 'Tanzanian song' that they had just downloaded and listened to.

After about 24 hours, the document was withdrawn from the website just as quietly as it had been posted there. However, this was apparently after giving all interested forum members enough time to download the document for their perusal and future reference.

An increasing number of Tanzanians both within and outside the country have of late started using Internet chat rooms to discuss latest developments here at home, where they also get to exchange views on issues and engage in file-sharing.

The original leaking of the Buzwagi contract to local newspapers early last week has already triggered off a heated nationwide debate on the various aspects of the deal, signed in mysterious circumstances in London last February by the Minister for Energy and Minerals, Nazir Karamagi, on behalf of the government and Barrick Gold Tanzania's executive general manager (operations) Gareth Taylor on behalf of Barrick Gold subsidiary company Pangea Minerals Limited.

And the agreement's subsequent posting onto the World-Wide Web appears to underscore the keen public curiosity and anticipation that has been building up ever since.

The government has traditionally preferred to keep its contracts with foreign mining companies operating in the country a closely-guarded secret, going to the extent of citing the confidentiality clause to repeatedly deny even members of parliament access to such sensitive agreements.

The country's political opposition camp has been particularly critical of the Buzwagi contract, asserting that there were irregularities in the circumstances behind its signing and the contents of the agreement itself.

The government, on the other hand, has issued a belated statement asserting that the contract signed in a London hotel was clean.

On his part, the man at the centre of the entire political storm - minister Karamagi - has opted to maintain a tight-lipped stance, declining comment on the deal or his own role in it.
 
Wakuu,

Unajua gazeti la maana kama Thisday kuiongelea Jamboforums kwa kiasi hiki na mafanikio makubwa sana kwa jamboforums. Hongera wote mlioifikisha hii forum hapa ilipo sasa.

Tukianza na wewe mkuu... Thanks kwa kutuletea ujumbe huu lakini Post number 8 katika topic hii iliyowakilishwa na Halisi imeligusia hili.

ThisDay: Hawa ni wapambanaji na wameibua mengi. Wametikiswa sana lakini crew yao iko imara haitikisiki. Ni sawa na MwanaHalisi ambao nao wako imara pamoja na mikwara mingi inayowakumba. Nawapongeza wahariri wa magazeti haya na mengine ambayo sijayataja ambao hukumbana na dhahma mara kwa mara lakini wamesimama imara.

Bado nasubiri kuona maoni ya wadau kuhusiana na mkataba wenyewe; sijui ndio watu wameleweshwa kiwango cha kushindwa kuchangia tena? Au ndio kusema lugha imetumika mpya? Au lugha za ki-mikataba hazieleweki? Au tutafute wataalam toka Norway wakatafsiri iweze kuongeleka?

Tupo pamoja!
 
hata mawaziri wanasoma nondo za hapa jamboforums,wakti umefika sasa kwa watanzaniakuamka kutoka katika usingizi ulioleweshw an mwenge wa uhuru unaokimbizwa kila mwaka,

tafakari na chukua maamuzi sahihi,tuanziena uchaguzi wa madiwani unaokuja
 
hahaha .....magazeti ya bongo bwana :d

but i guess ilikuwa ni njia ya kuitangazia jambo forums tu. big up muandishi wetu. sasa watu watajua wakitaka habari moto moto wapi pakuzipata
 
Thisday Na Jamboforums

Wakuu,

Unajua gazeti la maana kama Thisday kuiongelea Jamboforums kwa kiasi hiki na mafanikio makubwa sana kwa jamboforums. Hongera wote mlioifikisha hii forum hapa ilipo sasa.
Ndio maana huko nyuma niliomba tubadilike hapa forum na sasa tuanze kumkomanyani mchana kweupe, maana huko kwingine kote wananchi tayari wameshaamka, tuache uoga maana kama wewe hapa forum unaogopa fikiria hao wa gazeti la Thisday?

Moto umewashwa sasa mwendo uendelee kuwa mdundo, majungu hatutaki hapa tunataka facts, angalia magazeti yote ya bongo leo uone jinsi hata waandishi wa habari walivyochoka yaani sasa spade inaitwa spade, leo vichwa vya habari vinaitwanga serikali na BOT, na waziri Kapuya na mgodi wake,

Saaafi sana, wacha mawaziri waende mikoani sisi huku tunaendelea kuwatwanga tu, mpaka kieleweke, maana badala ya kwenda kujisafisha mahakamani wao wanaenda mikoani what a Banana Republic!
 
mie nadhani iwekwe tracker kujua ni watu wangapi wanatembelea hapa,
 
Tukianza na wewe mkuu... Thanks kwa kutuletea ujumbe huu lakini Post number 8 katika topic hii iliyowakilishwa na Halisi imeligusia hili.

Samahani mkuu! Hilo nimekuja liona baadaye kwamba kuna mtu alish post hiyo habari. Nili search kwanza sikuiona mahali.

Mengine yote OYEEEEEE!!!! kwa JF.

Jasusi nitumie email binafsi na nitakutumia copy.
 
Wajanja wameshaunyofoa. Nimeshindwa ku-download.

Jasusi bana,,, wewe si Jasusi tena! Yani ulishindwa ile jana? Nilikutumia maelekezo sana lakini naona ilikuwa aidha ni firewall yako kali ama vinginevyo.

Sasa wasiliana na Mtanzania maana mimi sina ati...
 
Back
Top Bottom