MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,564
- 847
Aligusia katika kila nyanja! Je katika soka na hati miliki za wanamuziki alisema nini?
Alizungumizia haki za wafanyakazi, ufisadi, vyama vya siasa, wagombea binafsi nk. Yani hii ni moja ya hotuba zake zilizo gusa karibia kila nyanja.
Nadhani umepata jibu mkuu.