Mkuu, CCM hapa itafanya nini kweli? Hawawezi kufanya lolote, pendekezo letu la awali la TANESCO kujitangaza mufilisi lilikuwa na maana japo lilipuuzwa!CCM na serikali yake wasipoondoka madarakani nchi haitaendelea .. i swear
ni kweli mkuu hapa CCM sijui itatokajetokaje..kuna gemu wanachezeana wao kwa wao humo ndani.. kuhusu Chadema kwenye jambo kama hili kuwa wangefanya nini .. nina uhakika chama makini kama chadema kisingefanya uzembe wa kuingia kwenye janga kama hili .. na kama wangeingia katika hali kama hii basi ingebidi wafanye maamuzi magumu . ccm hawawezi kufanya maamuzi magumu sio kwamba hawataki au hawapendi .. ni kwamba hawawezi na yapo nje ya uwezo waoMkuu, CCM hapa itafanya nini kweli? Hawawezi kufanya lolote, pendekezo letu la awali la TANESCO kujitangaza mufilisi lilikuwa na maana japo lilipuuzwa!
Kama CHADEMA au hata CUF wanaweza kuwalaumu CCM kwa hili (la leo) basi watwambie the way forward (wangefanya nini wao katika hali kama hii)
ila tutafika na tunaendelea kupanda magogo waliyoweka barabarani na kusonga mbele. Keep it up InvisibleSafari ni ndefu...
(e) The decision of the arbitrator shall be final and binding upon the Parties, and shall not be subject to appeal. Either Party may petition any court having jurisdiction to enter judgment upon the arbitration award. At the request of either of the Parties, the arbitrator shall cause such arbitration award to be filed with the High Court of Tanzania.
(f) The Parties waive any right to challenge or contest the validity or enforceability of this arbitration agreement or any arbitration proceeding or award brought in conformity with this Section, including any objection based on venue or inconvenient forum.
Hapa ndipo CCM na serikali yake ilipo ingiza Taifa hili mkataba wa mashaka, wanaweza kuuza nchni hawa jamaa, nashangaa mpaka leo aliyekuwa Mwanasheria wa Serikali hajachukuliwa hatua watu wanacheka cheka tu asubuhi hadi jioni.
You should have at least laid out your understanding or what you think is the implied meaning of the quoted statements, because you could have taken them out of their legal context, msee.
Mkuu Mkandara,Halafu utakuta washabiki wa EL na RA wakidai tuonyeshe hata sehemu moja ambayo hawa mabingwa wametuibia..
Ni aibu kubwa maanake hata kujivua magamba wameanza kusema sii lazima ati Tanzania ina matatizo mengine mengi zaidi ya kujivua magamba.. You know what I WISH JK angekuwa na Courage japo kidogo na kuwamaliza hawa wote waliohusika na Richmond/Dowans.
He is the President na kesha chaguliwa na wananchi by all means atafika 2015 na hawa jamaa wasimfanye lolote... Yeye ndiye kashika mpini na ktk maneno yake mwenye kesha sema - USIOGOPE kitu chochote unapotumikia jambo jema kwa nchi yako..ni maneno mazito ambayo anatakiwa ayafanyie kazi na sii kuongea tu.
- Akikosa muda huu nina mashaka sana na maisha yake baada ya 2015! yaani sijui kalogwa na alomloga kesha kufa au kitu gani....
Focus your discussion and mind to be objective to the matter on the table, quoted Para are self-explanatory; unless you have neurosis mind of yours!