JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

CCM wangekuwa against hii issue wangeivumbua mapema kwa sababu wana full access na mambo yanayofanyika, lakini walikaa kimya hadi pale issue ilipofunuliwa na mbunge wa upinzani sasa CCM nao wanajifanya kuamka! Hivi lusungo unataka kutuaminisha CCM hasa waandamizi wakuu hawakujua uwepo wa huu uharamia kabla ya mhe. Kafulila?


Unafikiri Kama wanaCCM na wazito wasingekuwa na ridhaa juu ya hili Kafulila angefika wapi??

Jiulize swali jepesi tu ... Unakumbuka majibu ya watawala juu ya sakata hili kwenye hatua za mwanzo kabisa lilipoibuliwa na Kafulila?

Je unadhani bila msukumo Wa hao CCM kwenye hili Kafulila angefurukuta? kuna mangapi yanaibuka na kuzimwa bila lolote kutokea?

Je hujiulizi jeuri na kujiamini kwa watawala juu ya majibu waliyotoa awali imepotelea wapi? ni kafulila tu ameweza kuzima jeuri hii? Kama ndiyo mbona mwanzo hakuweza??

Unaamini ni Kafulila pekee anaehangaisha watawala wasilale??

Kama ndivyo fikra zako zilivyo Una safari ndefu Sana kuutambua ulimwengu huu Wa tabu...
 
Last edited by a moderator:
Dah.........Ni around kumi na nusu alfajiri napata Nondo za kufa mtu.....kha......nimekumbuka Shule Ndio ilikuwa midas yangu ya kuamka na kuchangamsha akili....... Heshima nene kwa JF.

We amka endelea wengine tuliamka kitambo ngoja turudi kulala manake hii ni balaa
 
Bora Tanesco ipewe ABB sweden kuliko kuendelea kuwa chaka la mafisadi wa ccm!watawala wanachota,wananchi tunaiba umeme,wafanyabiashara wanaiba tabu tupu...
 
CCM wangekuwa against hii issue wangeivumbua mapema kwa sababu wana full access na mambo yanayofanyika, lakini walikaa kimya hadi pale issue ilipofunuliwa na mbunge wa upinzani sasa CCM nao wanajifanya kuamka! Hivi lusungo unataka kutuaminisha CCM hasa waandamizi wakuu hawakujua uwepo wa huu uharamia kabla ya mhe. Kafulila?

Kwa lugha nyepesi ni kuwa hawa "nguruwe"(CCM) walizidiana ulafi na kuanza "kudhulumiana"..Sasa kuna kundi jingine la nguruwe baada ya kuona "wamedhulumiwa sana" wakaamua sasa watamwaga ugali..na nguruwe wengine nao wanadai watamwaga mboga…Siku ya kumwaga ugali na mboga ni jumatatu…kwa hiyo mkuu jumatatu tembea na TV yako…
Ndio kusema upinzani walipewa tu hizo datazi kutoka kwa nguruwe"wazalendo"..Wapinzani wakazimwagwa data uwanjani... na huyu mmwaga data mpaka sasa analindwa na hao nguruwe "wazalendo"
Ninavyojua mimi tushukuru huko "kudhulumiana" kwao ndo tumepata hizo data…
We mkuu hujaona swala la katiba lilikuwaje!!!upinzani, wamelia wee lakini hawajasikilizwa na swala la katiba ndio muhimu zaidi lakini magamba wakalidharau..lakini hili la mkwanja wamejitokeza…hawa magamba sio wakuwaamini mkuu..
Likiisha hili kuna jingine limeshaanza kufumuka..hili ni la ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara…hapo napo kuna hela ya kufa mtu, hii hela ya Singa wenyewe wanaiita hela ya ugoro…hapa ndio CCM itakuwa ni kitimtimu maana hawa watakaojeruhiwa jumatatu lazima wafe na wale wa gesi…
Kakobe atakumbukwa...
 
Kwa lugha nyepesi ni kuwa hawa "nguruwe"(CCM) walizidiana ulafi na kuanza "kudhulumiana"..Sasa kuna kundi jingine la nguruwe baada ya kuona "wamedhulumiwa sana" wakaamua sasa watamwaga ugali..na nguruwe wengine nao wanadai watamwaga mboga…Siku ya kumwaga ugali na mboga ni jumatatu…kwa hiyo mkuu jumatatu tembea na TV yako…
Ndio kusema upinzani walipewa tu hizo datazi kutoka kwa nguruwe"wazalendo"..Wapinzani wakazimwagwa data uwanjani... na huyu mmwaga data mpaka sasa analindwa na hao nguruwe "wazalendo"
Ninavyojua mimi tushukuru huko "kudhulumiana" kwao ndo tumepata hizo data…
We mkuu hujaona swala la katiba lilikuwaje!!!upinzani, wamelia wee lakini hawajasikilizwa na swala la katiba ndio muhimu zaidi lakini magamba wakalidharau..lakini hili la mkwanja wamejitokeza…hawa magamba sio wakuwaamini mkuu..
Likiisha hili kuna jingine limeshaanza kufumuka..hili ni la ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara…hapo napo kuna hela ya kufa mtu, hii hela ya Singa wenyewe wanaiita hela ya ugoro…hapa ndio CCM itakuwa ni kitimtimu maana hawa watakaojeruhiwa jumatatu lazima wafe na wale wa gesi…
Kakobe atakumbukwa...


Ha ha ha vita ya panzi furaha ya kunguru....

Mwenda tezi na omo marejeo Ngamani....

Likiisha hilo litakuja la bandarini sijui jiwe gani litasalia hata ifikapo 2015....

Zile habari za "CHONGO KWA MNYAMWEZI kwa MZARAMO KAZI YA MUNGU" hazipo....

Nina hofu na chama changu jinsi tutavyoiingia 2015....
 
Hahaha, access levels za JF zipo tofauti sana. Hakuna kufuta kusikokuwa na reverse option. Hata hivyo, mods wetu hawako trained hivyo!
Ntuzu,uwe na amani na Mods,huoni wale Mods waliokuwa wanaleta ushabiki maandazi walifurushwa?.I always trust Invisible
 
Last edited by a moderator:
mkuu Invisible pls kwa hali ilivyo sasa nadhani hujuma kubwa zaidi zinaweza fanyika hata kukata mawasiliano ya mkongo wa taifa wa mawasilino, au hujuma nyingine zozote zitakazokwamisha mawasiliano.

Ni bora umalizie tu mkuu. Hali ishachafuka sana. Kuna uharamia wa miundo mbinu unaweza fanyika tutashanaana hapa mkuu. mi silali naisubiri kwa kweli. hizo page ulizoweka hazisisimui kabisa, wakati bado mnashauriana weka kwanza zile page zenye majina ya Payees.

Nakubaliana nawe. Leo Tanesco wanazima umeme kariba nchi nzima. Kama ni mjadara wa Warioba katiba pendekezwa usingefanyika au ungehujumiwa. Siwaamini tanesco hata kidogo.....umekuwa mlija na bomba kubwa la kutoa pesa kwetu kwenda kwa wezi wa ccm.....
 
Last edited by a moderator:
Tibaijuka wakati anaapishwa kuchukua wizara ya ardhi aliulizwa kuhusu rushwa akajibu " na uzee wangu huu rushwa nikichukua nitaifanyia nini?" . Kumbe hazikua rushwa za kutosha kama hii ya Escrow.
Hivi Chenge atatufanya Wa TZ ma..la mara ngapi? Rada amekula,Katiba ameivuraga, na sasa Escrow?
 
Back
Top Bottom