JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account


Unapiga porojo kama vile sisi hatujui kusoma? hati ya dhamana imetolewaa na IPTL, kasome tena juu.

Umeulizwa Mechmar hawakuwa hata na mlinzi kwenye mali na mitambo yote hiyo? umekwepa kujibu.
 
Unapiga porojo kama vile sisi hatujui kusoma? hati ya dhamana imetolewaa na IPTL, kasome tena juu.

Umeulizwa Mechmar hawakuwa hata na mlinzi kwenye mali na mitambo yote hiyo? umekwepa kujibu.

...chu.pi zimewabana eh!!na bado....mi huwa sijibu post zako kibaraka wa majizi....I will keep on ignoring dogs like you...
 
Hakuna lolte,mihela yote TANESCO inayovuna kutoka kwa wananchi ni ya kwao.Hizo ndizo mbinu zenyewe.
Ukifuatilia kwa makini haya madudu utashangaa nani ni mmiliki TANESCO. Hii taasisi imekuwa kama mbuzi wa jalalani. Yaani serikali inajiweka nayo mbali kabisa kama haiihusu!!!
 
We waache wajidanganye lakini mwisho wa siku UKWELI utajulikana tu,ifahamike Kuwait hili sakata la IPTL limeibuliwa muda muafaka!
 
Waliokula laazima waliwe. Hatuwaachii ng'oo. :glasses-nerdy:
 
Kiukweli hili suala la escrow bwana mkubwa linamhusu moja kwa moja kwani haiwezekani na wala haingii akilini kwa kiasi kikubwa cha pesa kama hiki kupigwa ndani ya nchi na rais wa nchi anatolea maelezo mepesi tu ya kuwa yeye haelewi mambo hayo kama alivyosema siku alipokuwa anawahutubia wanachi pindi alipowasili uwanja wa mwalimu JK Nyerere.

lakini pia napata shida kubwa sana pale niliposikia taarifa ya jana ya kuwa serikali bado wanaendelea na uchunguzi na pindi utakapokamilika hatua stahiki zitachukuliwa dhidi ya wale wote waliohusika, kwangu mimi napata shida katika hili kwani uchunguzi wa suala hili ulishafanywa na CAG na TAKUKURU lakini leo serikali wanasema wanafanya uchunguzi swali langu ni je huo uchunguzi unaofanywa na serikali unatumia vyombo gani hasa?

Na kama wanawatumia TAKUKURU wale wa mwanzo walifanya kazi gani? au ndo utaratibu wa kufunika kombe kuruhusu mali ya wananchi kuliwa na watu wachache
 
Ccm ni chama cha wezi wanao subiri kupigwa mawe
 
Inahitaji tuweke "utanzania" kando ili kuwa na ujasiri huu.

Kuna pipeline huko watu wamepiga dola bilioni moja wamegawana, habari ikija kubumbuluka wabongo watazimia.Hizi habari za escrow zitaonekana kama pesa ya kumpa mtoto anunue njugu.

Pia watu wanachimba mafuta off of Mtwara mwaka wa pili huu, sie tunaambiwa wanafanya "exploration".
 

Shenzi zao kabisa ngoja mpaka shetani atawahukumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…