MPIGA ZEZE
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 2,539
- 2,297
Lakini alicheza politics pia. kwamba kama ilivyoshauiriwa na Attorneys General.
Rais ulitaka apinge maamuzi ya mahakama? unanchekesha!
Au ulitaka atoe ushauri gani zaidi na yeye kaombwa ushauri? ni kuwa "maagizo ya mahakama kuu yafatwe".
Kosa liko wapi hapo?
Acha kupotosha mambo. Hukumu ipi iliyoamuru fedha zitolewe katika Escrow? Kwenye hiyo hukumu hakuma sehemu yoyote inayoamuru kifanywe hicho unachosema.
mkuu invisible pls kwa hali ilivyo sasa nadhani hujuma kubwa zaidi zinaweza fanyika hata kukata mawasiliano ya mkongo wa taifa wa mawasilino, au hujuma nyingine zozote zitakazokwamisha mawasiliano.
Ni bora umalizie tu mkuu. Hali ishachafuka sana. Kuna uharamia wa miundo mbinu unaweza fanyika tutashanaana hapa mkuu. Mi silali naisubiri kwa kweli. Hizo page ulizoweka hazisisimui kabisa, wakati bado mnashauriana weka kwanza zile page zenye majina ya payees.
Du we mwanamke unaroho ngumu!!!Tafakari; kuna ufisadi zaidi ya kuachanisha mtu na mkewe na ukamchukuwa huyo mwanamke kumfanya hawara yako? hata biblia haikubali hilo.
Rais ulitaka apinge maamuzi ya mahakama? unanchekesha!
Au ulitaka atoe ushauri gani zaidi na yeye kaombwa ushauri? ni kuwa "maagizo ya mahakama kuu yafatwe".
Kosa liko wapi hapo?
Du we mwanamke unaroho ngumu!!!
kyanaKyoMuhaya kwakweli watani zangu mnaanza kuwa matapeli wa nchi hii kwakweli! Mwambieni jamani yule Rugemalira na msomi Tibaijuka waache .....:becky::glasses-nerdy:When we contribute to JF people think we hàve money to waste.Reason for being a premium member. Invisible heshima yako.
Acha kiherehere , maamuzi ya mahakama umeyasoma au kazi kushabikia upotoshaji?
Soma vizuri post namba moja halafu nioneshe ni wapi Rais kasema zitolewe pesa?
Wacha kuwa punguani.
Huyu mama FaizaFoxy mwanaizaya sana. Anatetea hata utumbo,kwa jicho la udini..!