JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account


Kuna eneo umehororoja.
 

Hao lazima wahangaike sababu banda lao la kutagia limeingia utitiri!!!!
 
Bora Tanesco ipewe ABB sweden kuliko kuendelea kuwa chaka la mafisadi wa ccm!watawala wanachota,wananchi tunaiba umeme,wafanyabiashara wanaiba tabu tupu...

Wananchi wanaiba kwa kuwa GHARAMA zao za capacity charge ziko juu kama bei ya umeme Ingekuwa fair ni mwananchi yup atajishughulisha kuiba umeme?
 
Baba upo? Nangojea ukirudi kule kwenye uzi wetu niyasome maneno yako tena na mkuu Mchambuzi.
Wala usisubiri, rejea kule haraka! Tena yanukuu haya ninayoyasema vema.
Jambo zuri ni kuwa JFinatunza kumbu kumbu.

Hebu tuutende huu uzi haki, na ule upewe haki yake
 
katika sakata hili kila jiwe lazima lipinduliwe. hatuwezi kukubali hawa wezi watafune mali za umma hivi hivi huku tunawachekea.
 
Kwa nini wamenyofoa baadhi ya kurasa,,,???

Kwa nini???

Hizo kurasa wamepeleka wapi???

Amewaagiza muhongo,,chenge,pinda au yupi hasa????

Hao wanyofozi walifikaje ofisini,

ofisi ilikuwa wazi???

Je walikua wametumia zile local typeletter kana kwamba softcopy haipo,,,,
 
We bibi nae unakera!Yaani kila hoja wewe ni kupinga tu,hivi wewe ni mtanzania kweli?Mbona huna uchungu na hii nchi!Mi binafsi nimekuchoka,hata nikiona jina lako nahisi kama nimekutana na kinyesi njiani.

Ni kipi nimepinga, nisome vizuri nnachokisema, tusikurupuke, tungoje ripoti rasmi itayowasilishwa bungeni. Nawashangaa wanaokuja na kusema eti kurasa zimenyofolewa, wewe unaamini hilo? huoni kuwa ni ujinga huo?
 
Wee ajuza sheria za kodi zipo categorically nani apewe exemption kwa kitu gani na nani asipewe. Iwe ni tanesco wameengineer au mtu mwingine, mamlaka husika ya kusaheme hiyo kodi haikushirikishwa. Subiri report halisi watu tunayo. Acheni wizi halafu mnakuja kuongea upuuzi hapa.
 
Ni kipi nimepinga, nisome vizuri nnachokisema, tusikurupuke, tungoje ripoti rasmi itayowasilishwa bungeni. Nawashangaa wanaokuja na kusema eti kurasa zimenyofolewa, wewe unaamini hilo? huoni kuwa ni ujinga huo?


jana taarifa ya habari ya ITV wamesoma taarifa ya kunyofolewa baadhi ya kurasa za hiyo ripoti,,sasa wewe unataka nini,,
 

Usisikilize porojo za mitaani, huo ni uongo uliosambazwa na ITV na sababu zake zinajulikana, ni nani asiyeelewa kuwa Mzee wa mabifu Mengi ana bifu na Mhongo kwa kuambiwa ukweli kuwa yeye hana uwezo wa kutafuta gesi yeye ni dalali tu.

Ripoti rasmi ipo, tena kamili na itawasilishwa rasmi bungeni, watanyofoa mpaka kwenye kompyuta?
 
Mkuu Invisible usiishie kwenye page 3 tu zilizonyofelewa ebu tupia na ripoti ya waliolipwa toka akaunti ya Rugemalira ya MKOMBOZI Bank kuna majina tajwa hayaonekani.
 
Last edited by a moderator:
katika sakata hili kila jiwe lazima lipinduliwe. hatuwezi kukubali hawa wezi watafune mali za umma hivi hivi huku tunawachekea.

Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe jingine
 
Ni kipi nimepinga, nisome vizuri nnachokisema, tusikurupuke, tungoje ripoti rasmi itayowasilishwa bungeni. Nawashangaa wanaokuja na kusema eti kurasa zimenyofolewa, wewe unaamini hilo? huoni kuwa ni ujinga huo?
Maccm tunayajua lazima tuchukue tahadhari sasa we unataka iletwe imenyofolewa ndo tuanze chukua hatua? Hiyo itakuwa tumeshaliwa kama vipi zigo lishushwe hapa mapema waone aibu kuchakachua.
 
Tanzania nchi yangu nakupenda sana, ila sipendi mafisadi na vibaraka wao wote.
 
Hawa jamaa "wajanja" wamepima upepo kiwango cha original report kusambaa......hiyo kunyofoa ni ili wenye original wasimame sasa wajulikane ni "wafunge kazi" ......ila kauli ya Invisible kuwa ipo "mawinguni" maana yake kwa muda uliosalia "wameshafeli"
 
Last edited by a moderator:
It's a little hard to offer anything further without knowing the full context of my maxim!

Common sense is not so common-Voltaire

Sorry!
 
Weka pages zenye recommendations. Hizi hadith hazina issue

Hadithi zina issues, hufanya watoto walale ila wakubwa wafanye yao!!!!
We piga kiwi buti watoto wakilala uingie lindoni!!
Hadithi zina issue!!!
 
Mkuu Invisible,

Tupia basi na ule ukurasa wenye Bank Statement, wale walioonyeshwa pale ni wachache sana compare to the whole scandal!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…