JF diaries

JF diaries

Young generation Ambao mpo early 20s .

Be authentic , and don't focus to be like someone else , be a person you see on the mirror.

And always remember the person you see on the mirror will never betray you or leave you at any situation so make sure you love the person you see on the mirror.
I've learnt this the hard way.
 
Lissu treason case appearance: vs bunge: 112,994 views Streamed 4 hours ago
No description has been added to this video.
IMG-20250602-WA0262.jpg
 
Vibaka waliovalia baibui wakimsulubu mwananchi huko Zanzibar.. Hata hivyo baada ya msako mkali walikamatwa wote.. Vibaka hao umri wao ni 16, 17 na 22
 
Ukiwa na nafasi mbili

Kuongea na kukaa kimya
Ila ukaamua kuongea kwa niaba waliokaa kimya

Kwa lengo la kuwatetea , basi historia itakukumbuka. Kama shujaa maana kuchagua hatari dhidi ya usalama huwa sio jambo jepesi.

MTU anaitwa Tundu lissu , he was gunned kwakuwa tu aliamua kuitetea nchi dhidi ya wezi ,corrupt leaders na na dhidi ya haki za wengi.

Ikiwa mnaona mambo yapo sawa na yametulia fahamu kuna watu walijitoa ,walikufa hawakulala usiku ,wengine walifungwa na kuwa kidnapped.

Historia itaandikwa na ikaandikwa .

Bila Malcon X na Martin Luther King Jr tusingemjua OBAMA Kama rais wa kwanza wa USA mwenye asili ya Africa (Afro-American)

Labda bila watu Kama Tundu Lissu tusingepata the real changes who knows nani anajua .


Hapa nimejaribu kuupeleka Muda mbele na kukaa katika wakati ulipo na kurudi katika wakati uliopita .

Because this is dairy threads I hope after 20 years from now kutakuwa na kizazi kipya ambacho 90% ya maeneo yao ya Kazi (Working place) itakuwa ni mtandaoni .

Na sisi baadhi yetu ikiwa tutakuepo tutakuwa tumefika umri wa kutazama zaidi kusilikiliza kuliko kutenda . so I'm very happy to share my wisdom here.

I wish one day to see Mama Tanzania on safe hands.
Because this is dairy threads I hope after 20 years from now kutakuwa na kizazi kipya ambacho 90% ya maeneo yao ya Kazi (Working place) itakuwa ni mtandaoni .✌🏿📌🔨🙏🏿
 
Kanisa la Gwajima lafungwa
Barua kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani, Ofisi ya Msajili wa Jumuiya inasomeka kama ifuatavyo:-

KUFUNGWA KWA SHUGHULI ZA KANISA LA GLORY OF CHRIST CHURCH - KANISA LA UFUFUO NA UZIMA

Chini ya Kifungu cha 17(b) na kifungu cha 2 cha Sheria ya Jumuiya Sura ya 337 kama kilivyorekebishwa na kifungu cha 39(b) cha Sheria ya Marekebisho Mbalimbali ya Sheria Namba. 3 ya Mwaka 2019

Tafadhali, rejea somo tajwa hapo juu.

2. Katika siku za hivi karibuni, kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, umeonekana ukiwa katika mimbari ya Kanisa la Glory of Christ Church @ Kanisa la Ufufuo na Uzima, ukitoa mahubiri yenye mwelekeo wa kisiasa na nia ya kuichonganisha Serikali na wananchi. Vitendo hivi ni kinyume cha Sheria ya Jumuiya Sura ya 337na vinaweza kuhatarisha amani na utulivu nchini.

3. Kwa Mamlaka niliyopewa, Ofisi ya Msajili wa Jumuiya za Kiraia inafuta usajili wa Glory of Christ Church @ Kanisa la Ufufuo na Uzima, kuanzia leo tarehe 02 Juni 2025. Hivyo, unatakiwa kusitisha shughuli za Kanisa lako mara moja.

4. Chini ya kifungu cha 19(1) cha Sheria ya Jumuiya Sura ya 337, Kanisa lina haki ya kukata rufaa juu ya uamuzi huu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia kwa Katibu Mkuu, ndani ya siku 21 kuanzia tarehe ya barua hii.

5. Kwa Amri ya Msajili wa Jumuiya za Kiraia.
downloadfile.jpg
 
Namba za wafuatiliaji wa hii KESI online kupitia Youtube ZINATISHA.

MAHAKAMA: 15K viewers

Mwanzo TV : 1.4K viewers

Mwananchi Digital: 1K viewers

millard Ayo : 17K viewers

Jambo TV : 670 viewers

Zamaradi TV: 630 viewers

#FreeTunduLissuNow
1748870838924.jpg
 
 
Gwajima bado anatrend
 
 
Back
Top Bottom