JF detox... Time 📴

JF detox... Time 📴

Haya kikaragosi analia leoo
1a35e6a612e8373d05af229d58ec67e0.jpg
 
Kuna watu wanahisi jf haiko addictive.
Lahaula, hata hii ni social media platform kwa kivuli cha forum

Nahisi sasa ni muda wangu kutoka, for some time... I need to recharge.

My team si out🇵🇹, I feel lethargic na naona it's good to have a break. Also jf is taking a huge amount of my time, I need to find balance..

So leo itakuwa siku ya mwisho then kuanzia kesho, I'll be having some me time and my family, the people I take for granted. Na ndo wanijuao mimi kuliko online anonymous strangers.

So if na wewe unahisi kuchukua hii challenge, take it, this place can be addictive pia just like Instagram and other platforms...

Growth needs both recharging and participating.
Kwa haya makelele ya watu wa team MESSI hata mimi acha nijiunge kwenye challenge yako

Watakuja kunitoa roho kwakweli
 
Back
Top Bottom