JF detox... Time 📴

JF detox... Time 📴

View attachment 3624339la niniiii miee la niniiii
sitakiiiiii sitakiiii 😂
Hata msemaji the goat 🐐 will remain
img_2_1783403777927.jpg
 
Mwaya nitakumis sana.

Sisi wengine JF ni kijiwe cha gahawa /kibaraza cha umbea uswahilini , tukichoka na kuuza supu tunakuja kuzogoa humu, hapo mtu haujibu msg wasapu/haupokei simu ila JF uko active.

It’s JF and ticktock for me.
 
kitabibu,
dalili kuu ya mtu mwenye changamoto ya addiction or stress, ni kubisha kwamba hana na wala hausiki na hiyo hali,

did you know this 🐒
I can't argue with a person having OCD kila kukicha ana chawia ccm wakati yeye mwenyewe hana maisha
 
Kuna watu wanahisi jf haiko addictive.
Lahaula, hata hii ni social media platform kwa kivuli cha forum

Nahisi sasa ni muda wangu kutoka, for some time... I need to recharge.

My team si out🇵🇹, I feel lethargic na naona it's good to have a break. Also jf is taking a huge amount of my time, I need to find balance..

So leo itakuwa siku ya mwisho then kuanzia kesho, I'll be having some me time and my family, the people I take for granted. Na ndo wanijuao mimi kuliko online anonymous strangers.

So if na wewe unahisi kuchukua hii challenge, take it, this place can be addictive pia just like Instagram and other platforms...

Growth needs both recharging and participating.
Cc Espy_
Sijasoma...naomba tafsiri
 
Mwaya nitakumis sana.

Sisi wengine JF ni kijiwe cha gahawa /kibaraza cha umbea uswahilini , tukichoka na kuuza supu tunakuja kuzogoa humu, hapo mtu haujibu msg wasapu/haupokei simu ila JF uko active.

It’s JF and ticktock for me.
Why?
Kwanini usijibu watu wako wa karibu na kuzogoa na watu usio wajua?
 
Back
Top Bottom