muhimu tuma mchango kwa m-pesa ili ukute seat imekusubili. mia
watoto tunawapenda lakini hawaruhusiwi!. mia
mkuu Thanda, kama inawezekana tuma hela mapema ili iingizwe kwenye mipango ya kamati. kama Thando yupo dar kwanini usimwambie atume kabla ya siku ya mwisho ilowekwa?. miafigganigga, you r gud icon of JF, tuna zaid ya mchango siku kabla even on that day.Thank you for a quick reminder.
Bia zitakuwepo
Hii party ndio imeyeyuka au?
Waliochanga wanarudishiwaje hela zao??
muhimu tuma mchango kwa m-pesa ili ukute seat imekusubili. mia