Jf Couples (New Version)

Jf Couples (New Version)

ZD tulimfumania na mzee mwenzangu DC. Sasa kwakuwa wazee hatudhuriani, nilimkabidhi pamoja na ujauzito wa mapacha nliommgea. Hivi sasa DC analea vidume vyangu. Kimoja kwa navyoviona kitakuwa kicheza mpira (AFC si mko ligi kuu, mtakachukua) kale kengine kama hakatakuwa katekista basi katakuwa kamwalimu ka kwaya....... Nawaonea huruma sana waimbaji wa sauti ya kwanza.:violin:

Hahahaaaa mpaka nimepaliwa,kuna watu mmepinda humu
 
Hahahaaaa mpaka nimepaliwa,kuna watu mmepinda humu
Sasa mbona unacheka bila kunigongea LIKE? Unajua mtu akicheka kwenye post zangu afu asikagonge kale kadude, kikojoleo changu hakisimami kwa wiki moja unusu. Unataka wazembe wanichukulie mama watoto wangu mchana kweupe nikiwa naangalia? Hebu ka do the needful kabla baioloji yangu haijazurika:crazy:
 
Nawatakieni mahusiano mema kwa wale wapya pia nawasihi wawe wavumilivu maana UVUMILIVU NI DARAJA LA USTAARABU HATIMAYE UPENDO WA KWELI.

Naungana nawewe bro kuwatakia mahusiano yalo mema, hv wewe bro hauna shemeji humu ndani??
 
Eeeh bana eehh.....
napenda kuchukua fursa hii kutambua uwepo wa pea ziliopo humu ndani.....
kutokana na uzi huu........
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/55860-couples-za-jf-ni-hizi.html....naona wengi wapo chali.....nikimaanaisha wameachwa/acha...fumania/fumaniwa na hata wengine ni wajane...

Well.....sio ishu....hebu tucheck hii...

1. Husninyo + Judgement (baada ya Uporoto kupigwa chini)....
2. Cantalisia + Rejao (hii ni baada ya kumkwapulia Smile).....
3. Taijike + Excellent (wapya hawa).....
4. Erickb52 + Amyner (kama #3)......
5. Mwali + Ivuga (japo Ivuga kamkimbia Mwali).....
6. RussianRoulette + Paw (mmmh)....
7. Preta + Mtu Chake (japo TANMO anataka kuvuruga)......
8. Sweetlady + Nitonye (ila Sweetlady anataka kuvunja ukwimya samweya)
9. Kaizer + AshaDii
10.
11.
Nani nimemuacha......

dah kumbe mi sina bwana
pole zangu
 
Lizzy.....??????
G.Mpoleeeeeeeeeeeeeee?
Jane.................??
hawa sijaona couple zao
 
Back
Top Bottom