Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Sijui bana manake siku hizi kahamia nyumba ndogo. Mpigie!
zile kadi za banki umerudisha
Sijui bana manake siku hizi kahamia nyumba ndogo. Mpigie!
pole,cudnt cum!naumwa pia
Sijarudisha manake nasikia hiyo nyumba ndogo ni jimama la mujini lina mahela ya kumuhonga kakako hivyo nimebaki na kadi ili angalau niendelee kulipa school fees ya mwanetu!zile kadi za banki umerudisha
Wala usijali dogo kila kitu na nafasi yake.....
Chit-Chat ni poa na majukwaa mengine pia yako safi....
Mie pia nilijiunga kipindi cha uchaguzi wa mwaka 2010, mda mwingi nilikuwa nashinda kwenye siasa, mara hamadi nkagundua kuna chit chat looh salale sa ngapi nisiweke kambi moja kwa moja? Lol..
Huwa napita kwenye siasa pia Rejao akinikera narudi zangu chit chat kujipa raha...
si umwambie ukweli tu kuhusu Erick
Sina muda na cheat-chit-chat
Tena apotee maana Chit Chat ni kwa Great Thinkers na yeye hana great thinking capacity ila sina uhakika maana km angekuwa nayo asingekuja na hili...unaipenda na utazidi kuipenda.
Kama huipendi usirudi tena kwenye hii thread
We unatafutwa kufutwa tu maana usidhani walioweka chit chat ni vilaza sana.....Yaani hata sielewi mnaongea nini....... Hivi mnaelewana humu kweli!!!! mi nikisema ifutwe kwanini mnanionea gere..!!!!
Safari njema uendakoHapa kidogo mgeni....napita tu.
Tena apotee maana Chit Chat ni kwa Great Thinkers na yeye hana great thinking capacity ila sina uhakika maana km angekuwa nayo asingekuja na hili...
Small x
Safari njema uendako
Hahahaaa nimekuona kwenye thread ya kongoshoUnakaribishwa na wewe
Hahahaaaaa kweli...na akija atajibu....Lolhuyu ni kilaza, kama huamini utamuona sasahvi anakuja kuprove kuwa yeye kilaza
Hahahaaaaa waambie hawa vilaza wapotee kabisa na hatuwataki kabsaaaaaaaWatu wengine bana,chitchat ndio imenipatia mume alafu mtu mwingine anataka ifutwe!kwann unatafuta kulogwa bila sababu!hebu tuachie chit chat yetu bana ebo!
Hahahaaaaa kweli...na akija atajibu....Lol
Kilaza kweli maana tangu asubuhi anakuja anaaangalia then anajibu halafu anaondoka then anarudi tena....
Ngoja tumngoje
Hahahaaaaa waambie hawa vilaza wapotee kabisa na hatuwataki kabsaaaaaaa