Lady doctor siku hizi kawa adimu kama machozi ya samakinashukuru binamu yangu Heaven on Earth, wapi dadangu Lady doctor?
Asante sana Mkuu Kaizer
Heri hizo zikurudie na wewe na uwe na msimu mzuri wa sikukuu ya Xmass na Mwaka Mpya weney mafanikio na wenye baraka za Mungu
Kwa akina Arushaone, Erickb52, Nicas Mtei, Mentor, kiwatengu, Mamndenyi, Preta, Lady doctor, sweetlady, snowhite, King'asti, Heaven on Earth, Madame B, Zion Daughter, gfsonwin, AshaDii, sosoliso, mwallu, Mwalu, Paloma, Passion Lady, charminglady, Blaki Womani, Lily Flower, Chocs, amu, Husninyo, Dena Amsi Vin Diesel, Mkirua, TANMO, SIMplicity, stevoh, BAK, Jiwe Linaloishi, , Filipo, Bishanga, Asprin, Dark City, Paw, Invisible, Moderator, Mzee wa Rula, PakaJimmy, Mungi, RUTashubanyuma, Ruttashobolwa, nawatakia kila la heri katika kuumaliza mwaka salama na kuuingia mwaka mwingine wa 2014
ha haaa, rafiki labda useme tu ulikimbia hesabu, otherwise hakuna mti shamba hapo....Fixed Point na watu8 sikuu njema sana
nawasahau sana sijui majina yenu magumu kama dawa ya mti shamba
Asante sana Mkuu Kaizer
Heri hizo zikurudie na wewe na uwe na msimu mzuri wa sikukuu ya Xmass na Mwaka Mpya weney mafanikio na wenye baraka za Mungu
Kwa akina Arushaone, Erickb52, Nicas Mtei, Mentor, kiwatengu, Mamndenyi, Preta, Lady doctor, sweetlady, snowhite, King'asti, Heaven on Earth, Madame B, Zion Daughter, gfsonwin, AshaDii, sosoliso, mwallu, Mwalu, Paloma, Passion Lady, charminglady, Blaki Womani, Lily Flower, Chocs, amu, Husninyo, Dena Amsi Vin Diesel, Mkirua, TANMO, SIMplicity, stevoh, BAK, Jiwe Linaloishi, , Filipo, Bishanga, Asprin, Dark City, Paw, Invisible, Moderator, Mzee wa Rula, PakaJimmy, Mungi, RUTashubanyuma, Ruttashobolwa, nawatakia kila la heri katika kuumaliza mwaka salama na kuuingia mwaka mwingine wa 2014
Thank you!
My best wishes to you all my friends!!!!!
ha haaa, rafiki labda useme tu ulikimbia hesabu, otherwise hakuna mti shamba hapo....
Thanks Bro
Na wewe pia nakutakia heri na fanaka katika msimu huu wa Sikukuu...
ha haaa, mbaya zaidi hazileti hela, lol!Ulijuaje Fixed Point nilikimbia no bana naona zinaniletea mizinguo tuu haziaminiki na kukaririka
Nawatakia Merry Xmas and Happy ne Year marafiki, ndugu na jamaa wote wa hapa JF kiroho safeey
Nawapenda wote
CC AshaDii gfsonwin DEMBA kiwatengu Mr Rocky Arushaone Heaven on Earth mwallu Mentor Dark City Kongosho Fixed Point Preta PakaJimmy Filipo marejesho Mwanyasi Paloma Asprin Fidel80 amu Ennie obsesd Mtoto halali na hela Tized sungura1980 Baba V Husninyo RR Teamo King'asti Mtambuzi Jeska Kipaji Halisi Madame B snowhite Karucee The Boss BAK kabanga Tonykp major mwenda miss strong
ha haaa, mbaya zaidi hazileti hela, lol!
ha haaa, all the best rafikiNdo hapo sasa Fixed Point ndo maana nikasepa zangu kwenye kukariri huku na mambo yako poa sana
Fixed Point na watu8 sikuu njema sana
nawasahau sana sijui majina yenu magumu kama dawa ya mti shamba
Thanks mkuu KaizerNawatakia Merry Xmas and Happy ne Year marafiki, ndugu na jamaa wote wa hapa JF kiroho safeey
Nawapenda wote
CC AshaDii gfsonwin DEMBA kiwatengu Mr Rocky Arushaone Heaven on Earth mwallu Mentor Dark City Kongosho Fixed Point Preta PakaJimmy Filipo marejesho Mwanyasi Paloma Asprin Fidel80 amu Ennie obsesd Mtoto halali na hela Tized sungura1980 Baba V Husninyo RR Teamo King'asti Mtambuzi Jeska Kipaji Halisi Madame B snowhite Karucee The Boss BAK kabanga Tonykp major mwenda miss strong
wana chit chat!
Msimu wa sikukuu ndiyo umefika sasa.
Naamini kila mmoja kwa namna yake ataenjoy na kufurahia sikukuu hizi.
Sasa kwa kupitia huu uzi, naombeni tupeane wishers zetu.
Wenye maua na mivuto mingine ya ujumbe wa kiholidays!
Tupia hapa tufurahie pamoja.
Tupia hapa na salamu zako,
za sikukuu!!
Marry christmass and happy new year 2014..