Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,946
Mwenyewe 😂😂😂Nyokoooooooooo 😎
Mwenyewe 😂😂😂Nyokoooooooooo 😎
Nilimuona kwenye ule uzi wa mkesha![]()




hukumstuaaa jamaniii ex shemelaaa?Hadi hapo ww muongo, sasa hayo tuachane nayo mapenzi ya Julieh & Romeo. Turudi huku kwenye nature yetu wamatumbi, “Babe gesi imeisha”![]()






mbona kaka zako wote sita nilkua nao,,wote wameniachq.Yupi? Mana ulikuwa nao wawili. Niachie mimi anarudi huyo 😂😂😂
Nimefunga nafasi ya mapenzi ya Romeo & Julieth. Ni kupendana kwa pesa tyuuu 😂😂😂😂uduguu nimechekaa sanaa ujue.
Nilikuwa na usingizi 😂😂😂hukumstuaaa jamaniii ex shemelaaa?
Wote sita? Wifi kunywa Azuma box 3 kabla yutiayi sugu haijakushambulia kwa kasi 😂😂😂mbona kaka zako wote sita nilkua nao,,wote wameniachq.
Ndo maana ake, pesa mbelee km tai.Nimefunga nafasi ya mapenzi ya Romeo & Julieth. Ni kupendana kwa pesa tyuuu![]()





Dah nimelia sana 😭Shikilia hapo hapo sisy Eve
Ety anasema alilogwa na wapareem muulize vizuri kwani.
Sasa hy pesa nakutumia wap mahi, au kuna JF-Pesa?Hadi hapo ww muongo, sasa hayo tuachane nayo mapenzi ya Julieh & Romeo. Turudi huku kwenye nature yetu wamatumbi, “Babe gesi imeisha” 😜
Hapa ni kupewa bill mpk ya supu ya mbwa wangu, sijui Mbaga atamudu? 😂😂😂Ndo maana ake, pesa mbelee km tai.![]()