Bsdo vyuma vinaendelea...Lakini si wamesitisha au bado kinanuka..?
In short kwenye hii vita kuna propaganda nyingi sana... Ndio maana ni ngumu kupata majovu kamili.. Coz hata media za nje nazo wanfanya propaganda tu..Kwani maongezi hawajafanya tu..?
😂😂 Kama kawaida ya wanadamu sisi annunaki tunawacheki tu na propaganda zenu..In short kwenye hii vita kuna propaganda nyingi sana... Ndio maana ni ngumu kupata majovu kamili.. Coz hata media za nje nazo wanfanya propaganda tu..
Hakuna watu wa kuamin kbsa
Annunaki hatuna masihara..... Wakiendelea na mambo yao... Tunashuka duniani tunaumba tena race nyingine...Kama kawaida ya wanadamu sisi annunaki tunawacheki tu na propaganda zenu..




Regency Hotel ya mawe.???Ungeenda kula kwa mama Claree unadhani hayo yangekukuta? 😅😅
Shida hizo za kujifanya unaenda kula Regency Hotel….
Polee, safiiii, komaa 💃💃
Tuko poa zaweweMpo poa wandugu
Wewe ndiye unatafsiri hivyo..!🤸unavurugu sana wedada...🤣
Nimefika uduguu wangu haya nipe maubuyu hafu nikuchekeshe 😂😂😂