KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,761
- 86,426
- Thread starter
- #321
Ewaa haya ndo Mambo sasa!.. na yule mwengine si ulisema wapo wawili..😀Naona umeamuaaaView attachment 2130543
Ewaa haya ndo Mambo sasa!.. na yule mwengine si ulisema wapo wawili..😀Naona umeamuaaaView attachment 2130543
Mmoja yupo bafuni anaoga 😃😃😃.. acha arudiEwaa haya ndo Mambo sasa!.. na yule mwengine si ulisema wapo wawili..😀
😀😀😀😀 wamezagaaa sana.. itakuwa hutaki kujaza wanzugu kwa mtu tuAkirudi mtandike picha nione watu mnavyofaidi..😁
Ila dah! Watu mnakula sie wengine tunasindikiza tu!
Shipa???😲😲Poa naona shipa linakukuwa tu sijui unakula nini..😀
Haha! Mkuu napenda afya yangu sitaki kuwa jitu la manjia mengii!.. halafu mapenzi yanaumiza ukienda hovyohovyo naupenda moyo wangu bado!.. wazungu sitaki waniendeshe.😀😀😀😀 wamezagaaa sana.. itakuwa hutaki kujaza wanzugu kwa mtu tu
sema wanafirisi mzeee.. maana huwezi mnyandua mtu bila kufuta jasho hata kama wako 😀😀😀 hata mie naelekea kuacha.. matumizi yanakuwa juu kupita kipatoo.. mwisho wa siku niwe markmuga part 2Haha! Mkuu napenda afya yangu sitaki kuwa jitu la manjia mengii!.. halafu mapenzi yanaumiza ukienda hovyohovyo naupenda moyo wangu bado!.. wazungu sitaki waniendeshe.
Silioni etiHulioni..😀
Ni nzuri za kuchelewa kuamka..?
Nilikwambia hiyo ni forex ilayo..😂sema wanafirisi mzeee.. maana huwezi mnyandua mtu bila kufuta jasho hata kama wako 😀😀😀 hata mie naelekea kuacha.. matumizi yanakuwa juu kupita kipatoo.. mwisho wa siku niwe markmuga part 2
Wewe siyo mpweke mie... My wangu anapambana kunitafutia msosi nile nizidi kunenepa afurahi😂Haha! Hata wewe ni mpweke my wako yuko wapi..
Ukitaka nikuonyeshe hilo shipa niruhusu..😅
😋😋😋😋 hapa napiga vibeee ndio niingie mtaani kupambanaNilikwambia hiyo ni forex ilayo..😂
Vipi hajamaliza tu Kuna kitu nataka nipime..!😅
Haloo! Mkuu kwahiyo upo kwenye threesome..?😀😋😋😋😋 hapa napiga vibeee ndio niingie mtaani kupambanaView attachment 2130551
Ewaaaa... raha sanaaa.. nashangaa wanao kataaa threesome.. hawajui raha yake tuHaloo! Mkuu kwahiyo upo kwenye threesome..?😀
Embu niache ninenepe ovyo ..Cha ubavu my tz11...We nenepa hovyo tu utapigwa cha ubavu uanze kulia!
Linapatikana kwenye mwili wako..😂
Kiswahili ulipataga ngapi..?😂Embu niache ninenepe ovyo ..Cha ubavu my tz11...
Nimejichungulia sioni shipa..🤔embuu shipa si hua mnalo wanaume kwa jina lingine busha au!!!