Hii sijairudia kitambo mi najikuta napenda za kivita Rambo first blood n.kNitaangalia aisee , mfano Titanic nimeirudia weh ..
Hiyo inatisha siwezi kuiangalia kabisa .
Kuch kuch hotae hii nilipenda sana jamaniHii sijairudia kitambo mi najikuta napenda za kivita Rambo first blood n.k
Kihindi nayoikubali ni koira ya sharukani jina lake rekebisha wewe..![]()
sasa hivi siangalii za kihindi kabisa .. Hollywood hii imetubadilisha wengine .Why?Null
Si ulaleHaya sasa zamu yangu ya kuchat. Nani yupo macho?
💥Haya sasa zamu yangu ya kuchat. Nani yupo macho?
Sitaki kulala.Si ulale
Hongera kwakoNo kuachwa sio ishu tena siku hizi
Ngoja pakuche nikutumie location mkuuKwenu wapi nije mda huu ???![]()
Umeanza kua mkubwa naonaMbona sahivi nimetulia..😊
Kuachwa ni kama sunnaWe hujawahi kwani mbona wacheka watu..?