Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Inajulikana na watu wanadai kuwa wataalam wa mahusiano,waimbaji wa nyimbo za mapenzi,wataalam wa saikolojia n.k,hao wote ni wataalam sana wa kutoa ushauri na burudani/ushauri kwa wanandoa au walioko kwenye uhusiano.Lakini linapokuja suala la mahusiano yao ni ya hovyo sana!Hata wanapopata migogoro huwa hawawezi kuyafanya yale wanayowashaui watu.Sasa hata humu wapo wanachama humu ambao ni wataalam sana kwenye kutoa ushauri,halafu wna ndoa au mahusiano,kwa mtazamo huo je na ndoa zao ni za hovyo?Au kwao ni tofauti?I'm just thinking!