jambo moja la kuvutia hapa kuwa mmoja ni Atheist aliyejipambanua na mwingine ni Polytheist pagan ASIYEJITAMBUA na mwabishana kwa vitu visivyo na faida kwenu kwani all you have one thing in common YOU ARE NOT BELIEVERS TO THE TRUE GOD,THE CREATOR,MASTER AND THE SUSTAINER OF ALL THE UNIVERSE
all you need now is to remove that blanket that is clouding your minds and believe in one and only God,everlasting one who was neither created nor begotten
Shukrani zote anastahili Mwenyezi Mungu,Mola wa walimwengu wote
Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na Mwenye kuneemesha neema ndogondogo
Mwenye kumiliki siku ya malipo
Wewe tu ndiye tunayekuabudu, na wewe tu ndiye tunayekuomba msaada
Tuongoze njia iliyonyooka
Njia ya wale uliowaneemesha, siyo (ya wale) waliokasirikiwa, wala (ya) waliopotea
QURAN : SURATUL FAATIHAH 1-6
all you need now is to remove that blanket that is clouding your minds and believe in one and only God,everlasting one who was neither created nor begotten
Shukrani zote anastahili Mwenyezi Mungu,Mola wa walimwengu wote
Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na Mwenye kuneemesha neema ndogondogo
Mwenye kumiliki siku ya malipo
Wewe tu ndiye tunayekuabudu, na wewe tu ndiye tunayekuomba msaada
Tuongoze njia iliyonyooka
Njia ya wale uliowaneemesha, siyo (ya wale) waliokasirikiwa, wala (ya) waliopotea
QURAN : SURATUL FAATIHAH 1-6