MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
- Thread starter
- #21
U got it right!!!!!!!!!!!
Kwahiyo hakuna kitu kwenu zaidi ya kuwapinga Wakristo na wengine wanao futa Mungu. Kwanini msitangaze na kufundisha uatheist? Mmegundua ni jinsi gani mlivyo haribu dunia kwa kutumia Ukomunisti ulio shindwa vibaya duniani pote.
Sasa mmebakia kuhubiri Mungu ambaye hayupo kutokana na fallacy yenu potofu. lol