JF Arusha, Where are you this Sunday?

Kibanga Ampiga Mkoloni

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2007
Posts
19,077
Reaction score
9,240
Guyz am in town, where are u?
Lets keep in touch this evening?
Even if ur Usalama( All those who are here looking for what some one is doing) or Else please where are u?
 
watafute huko wadau muende mkajibwax mitungi.
 
Guyz am in town, where are u?<br />
Lets keep in touch this evening?<br />
Even if ur Usalama( All those who are here looking for what some one is doing) or Else please where are u?


Pamoja mtu wangu uko pande zipi mida hii tukupe uwenyeji wa haraka?
 
hahah humu ndani watu wanajifanya kuwa expensive hawaonekani. Karibuni JAMII EMPOWERMENT (SACCOS)
 
Duuuuh mkuu mbona umekuja kimya kimya? Sasa nakuPM tuwasiliane tuone jinsi ya kufanya.
 
Dogo,
Tumia busara kidogo!
All you can think about is mitungi?
Kuwa na busara kidogo!...Umerudi lini toka msibani?
Karibu tena A town!

kazi kweli kweli......mmmhhhh......
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">kazi kweli kweli......mmmhhhh......</span></font></font>
<br />
<br />
umeona eee
 
[QUOTE=WiseLady;23274
umeona eee

Halafu wewe habari zako nimezipata jana una kesi ya kujibu ngoja kwanza niwapange wenzako kabla hawajaanza mdomo na kuchafua hewa
 
Wiselady haki ya nani jisalimishe mwenyewe kabla sijalianzisha humu jamvini bora Preta ananilaghai na kunipooza kuliko wewe unayenichezea faulu za mateso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…