Binti Maria
Senior Member
- Jun 26, 2007
- 158
- 33
Binti Maria,
Ni JF pekee ambapo people dare to talk openly, wanaweza pia kutumia majina wanayotaka ili mradi hayavurugi mapambano yetu na dhuluma mbalimbali TZ.
Tanzania tuna culture ya kuchukua maneno mapya na kuyafanya majina, mifano ya Osama, Taliban. faruja nk. watu wanatumia ili mradi na wenyewe wanajua yanayotokea duniani.
Kuwapo wengi wa watu walio kinyume chetu hapa JF kunatukumbusha kusimama kidete na kutetea mawazo yetu bila aibu wala kuteteleka.
Hii haijakaa sawa, haiwezekani JF sasa hivi ndio inaongoza kupambana na ufisadi nchini halafu tunaruhusa watu wanajiita Fisadi humu tunawaruhusu, jamani tuonyeshe mfano. Pamoja na uhuru tulio nao lazima kuna vitu tuvikatae ambavyo vina contradict our own principles. Sisi tumeshaamua kwamba tuna vita na ufisadi, sasa iweje tena turuhusu watu humu wajisifu kwa ufisadi kwa kujiita majina ya ajabuajabu: Fisadi, fisi, etc.
Nashauri kwamba hawa ndugu washauriwe na ikibidi washurutishwe kubadilisha majina yao, vinginevyo uanachama wao utenguliwe mara moja.
Moderators: sijui hii kama ni mahala pake hapa. Mnaweza kuipeleka panapohusika kama hapa siko.
Ndimi Binti.
Hii haijakaa sawa, haiwezekani JF sasa hivi ndio inaongoza kupambana na ufisadi nchini halafu tunaruhusa watu wanajiita Fisadi humu tunawaruhusu, jamani tuonyeshe mfano. Pamoja na uhuru tulio nao lazima kuna vitu tuvikatae ambavyo vina contradict our own principles. Sisi tumeshaamua kwamba tuna vita na ufisadi, sasa iweje tena turuhusu watu humu wajisifu kwa ufisadi kwa kujiita majina ya ajabuajabu: Fisadi, fisi, etc.
Nashauri kwamba hawa ndugu washauriwe na ikibidi washurutishwe kubadilisha majina yao, vinginevyo uanachama wao utenguliwe mara moja.
Moderators: sijui hii kama ni mahala pake hapa. Mnaweza kuipeleka panapohusika kama hapa siko.
Ndimi Binti.