Binti Maria
Senior Member
- Jun 26, 2007
- 158
- 33
Hii haijakaa sawa, haiwezekani JF sasa hivi ndio inaongoza kupambana na ufisadi nchini halafu tunaruhusa watu wanajiita Fisadi humu tunawaruhusu, jamani tuonyeshe mfano. Pamoja na uhuru tulio nao lazima kuna vitu tuvikatae ambavyo vina contradict our own principles. Sisi tumeshaamua kwamba tuna vita na ufisadi, sasa iweje tena turuhusu watu humu wajisifu kwa ufisadi kwa kujiita majina ya ajabuajabu: Fisadi, fisi, etc.
Nashauri kwamba hawa ndugu washauriwe na ikibidi washurutishwe kubadilisha majina yao, vinginevyo uanachama wao utenguliwe mara moja.
Moderators: sijui hii kama ni mahala pake hapa. Mnaweza kuipeleka panapohusika kama hapa siko.
Ndimi Binti.
Nashauri kwamba hawa ndugu washauriwe na ikibidi washurutishwe kubadilisha majina yao, vinginevyo uanachama wao utenguliwe mara moja.
Moderators: sijui hii kama ni mahala pake hapa. Mnaweza kuipeleka panapohusika kama hapa siko.
Ndimi Binti.