Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 2,882
- 7,916
Wadau hivi ni kweli kwamba Yanga walivunja mkataba na Sheria Ngowi baada ya makubaliano na kampuni ya Nike kutiki? Nikweli Nike ndiyo watatengeneza jezi msimu huu?
Nike hawana ubunifu mzuri, walau AdidasWadau hivi ni kweli kwamba Yanga walivunja mkataba na Sheria Ngowi baada ya makubaliano na kampuni ya Nike kutiki? Nikweli Nike ndiyo watatengeneza jezi msimu huu?
Wataigiza kila kitu mpaka lining hao.Nike hawana ubunifu mzuri, walau Adidas
Nike ya Mbagala?, hawa wala thupu watamudu kununua jezi ya Nike?..Subilini mletewe mitambaa yenu mliyozoea!.Wadau hivi ni kweli kwamba Yanga walivunja mkataba na Sheria Ngowi baada ya makubaliano na kampuni ya Nike kutiki? Nikweli Nike ndiyo watatengeneza jezi msimu huu?
Hilo chaka la Gsm kujipakulia minyama!, hawezi achia hao Nike...Hiyo ni uongo, GSM hapo ndio anapopiga hela hawezi kutoa mkandarasi kwa Nike wala brand nyingine, unless awe dalali kama JayRutty. Jezi ya 50k, analamba over 35k na hakuna kelele hata mm siwezi kuhamisha goli kirahisi hivyo
Kumbe jezi za Yanga zinauzika sana mpaka GSM hataki kuachia hiyo tenda. Yanga fans wako vizuriHilo chaka la Gsm kujipakulia minyama!, hawezi achia hao Nike...
Basi mashabiki wa Yanga wako vizuri, jezi zinauzika sana mpaka GSM hataki kuachia tendaHiyo ni uongo, GSM hapo ndio anapopiga hela hawezi kutoa mkandarasi kwa Nike wala brand nyingine, unless awe dalali kama JayRutty. Jezi ya 50k, analamba over 35k na hakuna kelele hata mm siwezi kuhamisha goli kirahisi hivyo
Nyie mmeona 1300 tu hamfirikii gharama zingine anazo ingia kama logistics, promotion, kumlipa mbunifu na harasa kama ipo ana beba yeyeGsm hapo yanga pesa zote anatoa kwneye jezi hawezi iachia iyo tenda kwa nike ambao wao pia ni watengenezaji wa jezi sheria ngowi ni mbunIfu tuu ambae alikuwa anaifanyoa kazi GSm hausiki na utengenezaji wala usambazaji,
GSM ukija mtoa kwenye ilo chaka la jezi anaweza hata susia udhamini mana pesa zote za kuisaidia yanga anatoa hapo jezi 45k wao yanga wanapata 1300 tu. Nyingine zote anabeba GSM
Kwanini tomu zetu haziingii mikataba na makampuni makubwa ya kutengeneza vifaa vya michezo mfano Puma, Adidas nk, yani tunashondwa ata na vitimu vidogo vya Uarabuni. Jezi kama haijatengenezwa na kampuni moja wapo kubwa basi hatutapata jezi bora kwenye Timu zetu, yani ata timu ya Taifa jezi zake zinatengenezwa na vikampuni vya Bunguruni. Timu yetu ya Taifa kwasasa inashiriki mashindano ya Kimataifa nilitarajia kuona Jezi zetu zinatengenezwa nq Nike au Adidas lakini chakushangaza jezi hazieleweki.Gsm hapo yanga pesa zote anatoa kwneye jezi hawezi iachia iyo tenda kwa nike ambao wao pia ni watengenezaji wa jezi sheria ngowi ni mbunIfu tuu ambae alikuwa anaifanyoa kazi GSm hausiki na utengenezaji wala usambazaji,
GSM ukija mtoa kwenye ilo chaka la jezi anaweza hata susia udhamini mana pesa zote za kuisaidia yanga anatoa hapo jezi 45k wao yanga wanapata 1300 tu. Nyingine zote anabeba GSM
Mapato ya yanga kwenye jezi hayafiki hata mil 100 kwa msimu hata wauze vipi wana rate kwemye 45-60M.
Kuna msimu ule jezi zilikuwa na ramani ya africa ule msimu yanga mapato yao walitangaza kwenye mkutano wao yalikuwa ni mil 45 tu.
Fanya kazi lasivyo njaa itakuchanganya sana akili Kwa Kila unachokiandika yanga sio Levo yakoSidhani kama ni Nike ila toka Simba itangaze Diadora nilijua tu Yanga haitakubali kwenda msimu mpya bila nayo kupata chata ya kimataifa. Ndiyo maana sikushangaa kusikia eti wanaachana na Sheria wakati alituambia tayari ana design za jezi za Yanga za misimu kadhaa mbele.
Watatengeneza makubaliano feki na moja ya brand kubwa ili walau hili wimbi la msimu huu la Diadora lipoe kwanza wasionekane wanyonge halafu mwakani watarudi kwenye vitenge vyao.
Ataachaje wakati kila jezi mauzo Utopwinyo wanapata 1500/=, yap wapo vzr kumchangia GSM.Kumbe jezi za Yanga zinauzika sana mpaka GSM hataki kuachia hiyo tenda. Yanga fans wako vizuri