kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,233
- 12,507
Aston Villa haina hadhi inayosababisha Mimi nivae jezi yake. Nilinunua jezi yake kwasababu ya kijana wetu Mbwana Samatta kuwa pale. Sasa Mbwana hayuko najisikia vibaya kuivaa ile jezi ambayo nilinunua kwa Bei kubwa.
Nani aje nimpe jezi hii aivae yeye? Sinunui ya Fenerbahce kwanza hadi kieleweke kwanza.
Nani aje nimpe jezi hii aivae yeye? Sinunui ya Fenerbahce kwanza hadi kieleweke kwanza.