Vijana wa JKT mujibu wa sheria wanajiona wameiva sana Mkuu, mimi nadhani huo mkusanyiko wao utakuwa ni sehemu ya mafunzo yao, mara nyingi huwa wanajigawa makundi mawili, kundi la Adui na kundi la mapambano. Wanweza anzia porini na kuja mpaka mjini kulingana na mwelekeo wa Adui.
Nafikiri ndicho walichokuwa wanafanya hao Walinzi wetu, Watu wa Songea toeni hofu.