Jeshi la zima moto latoza 60,000/- kwa kila nyumba ya kulala wageni (guest house)

makwagejo

JF-Expert Member
Nov 25, 2019
361
267
Jamani hivi hii sheria ya kutoza fedha 60,000/- kwa mwaka kila nyumba ya kulala wageni mkoa wa Simiyu ni haki? Ofisi ya biashara tunatoa 10% kila mwezi bado tunalipa TRA 250,000/- ambayo ni makadilio ya hovyo sana. Leo tunaletewa zima moto 60,000/- kwa mwaka jamani, hii ni haki?

hapo ujalipa mfanyakazi,ujalipa maji,ujalipa umeme bado uchakavu wa vitanda na shuka, bado hujavuta choo,jamani hii ni serikali kweli?

Hii inafanyika Simiyu - haswa Maswa hapo hebu mtuambie hiyo zima moto nyumba ikiungua mnalipa? Maana mnatisha watu kupeleka mahakamani,
 
Hutakiwi kumtilia mashaka daktari wa uchumi 😂😂😂! Lipa 60,000 hio kwani wananchi ndio wamesema wanahitaji kuchangia.
 
Fire kwa kweli wanakera, wakianza kuzunguka kama una biashara lazima ukereke. Inabidi Tutafute namna ya kucentralize haya malipo kisha tasisi zigawane.
yani kila siku unapigiwa simu hii inakela sana
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Jamani hivi hii sheria ya kutoza fedha 60,000/- kwa mwaka kila nyumba ya kulala wageni mkoa wa Simiyu ni haki? Ofisi ya biashara tunatoa 10% kila mwezi bado tunalipa TRA 250,000/- ambayo ni makadilio ya hovyo sana. Leo tunaletewa zima moto 60,000/- kwa mwaka jamani, hii ni haki?

hapo ujalipa mfanyakazi,ujalipa maji,ujalipa umeme bado uchakavu wa vitanda na shuka, bado hujavuta choo,jamani hii ni serikali kweli?

Hii inafanyika Simiyu - haswa Maswa hapo hebu mtuambie hiyo zima moto nyumba ikiungua mnalipa? Maana mnatisha watu kupeleka mahakamani,
wanataka extinguisher
 
Back
Top Bottom