Munru
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 1,340
- 664
Hii habari binafsi nimesimuliwa na mkazi wa g.mboto kwa njia ya simu "Ebwana kuna mwanajeshi kavamiwa na wananchi kapigwa kweli kisa eti wanasema wanajeshi walifanya makusudi kulipua mabomu" kiukweli nlifadhaishwa sana,gafla akapga simu tena "jamaa wamerudi wanagawa kpgo hapa nipo njian nakimbia" jamaa unapoleta hoja kama hiyo nivema utoe sababu zilizosababisha kuliko kuleta hoja ambazo zitatuwekea uadui na walinzi wa taifa letu! Kiukweli jamaa wanafany kazi ngumu mno,binafsi nimetokea mipakan 'hawalali kutulinda sisi' inaleta hasira unamlinda mtu tena kwa kujitolea then mnampga mmojawao What are we expecting?
kazi kubwa mno????? walipwa kod zetu... ata kama wananchi ndo wameanza kwani wao wapo juu ya sheria??? why wachukue sheria mkonono????
polis /jeshi usalama wa raia?????:A S 13::nono::shetani::shetani:
POLIS JESHI...UHASAMA NA RAIA WEMA WAZALENDO WANAOWALIPA KWA KODI ZAO.....
Kama wananguvu sana hawa wanajeshi wangekaziwa mashamba makubwa wasaidie kulima na kuzalisha chakula nchi ....