kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,818
- 7,484
Usipoteze muda kusubiri ripoti!! Uwe unasoma alama asee mangi
Msukuma mwenzio ndio yuko behind the sceneHii siyo sawa kabisa.
Inaenda kukaribia miezi sita sasa tokea Tundu Lissu anusurike katika shambulizi la kutaka kumuua.
Tukio lilitokea mchana kweupe, tena kwenye makazi ya viongozi waandamizi wa bunge na serikali.
Cha ajabu kabisa [at least kwangu mimi], hakuna hata updates kutoka kwa jeshi la polisi kuhusu huo uchunguzi umefikia wapi.
Hata kutaja personof interest hakuna! Kutaka suspecthakuna!
Sasa watu tuwafikirieje hao polisi?
Au ni mimi tu ambaye sijui kuwa wanatoa updates?
Huu ukimya wa polisi unatoa uhalali kwa tuhuma za uhusikaji wa serikali katika zoezi zima.
Ajabu kabisa!!!
Hata Mimi nimeshangaa!!!!!Maajabu ya mwaka ! Nyani ngabu anauchungu na Tundu Lissu leo ?

Ninyi ndiyo mnataka ushoga kwakua hata marekani na ulaya upo!!Hayo mashambulio na mauaji mbona ni vitu dogo na vya kawaida tu!!
Hata Ulaya na America mambo haya yanatokea sana. So tusiyakuze kiviile...
Uncle Faru amekunyima ukurugenzi umeshaanza kupanick!Hii siyo sawa kabisa.
Inaenda kukaribia miezi sita sasa tokea Tundu Lissu anusurike katika shambulizi la kutaka kumuua.
Tukio lilitokea mchana kweupe, tena kwenye makazi ya viongozi waandamizi wa bunge na serikali.
Cha ajabu kabisa [at least kwangu mimi], hakuna hata updates kutoka kwa jeshi la polisi kuhusu huo uchunguzi umefikia wapi.
Hata kutaja personof interest hakuna! Kutaka suspecthakuna!
Sasa watu tuwafikirieje hao polisi?
Au ni mimi tu ambaye sijui kuwa wanatoa updates?
Huu ukimya wa polisi unatoa uhalali kwa tuhuma za uhusikaji wa serikali katika zoezi zima.
Ajabu kabisa!!!
Tatizo lako ni Mbowe lakini tatizo la wengi hapa ni utawala wa sheria. Siyo JK au JPM tu yeyote ambaye atakuwa mtawala atoke CCM au Chadema. Do the right thing, Utawala wa sheria bila kuvunja katibaTatizo liko hapo ...hii kutaka mambo yapite kirahisi ndio pia yanayowafanya mumshangilie JK kirahisi na kusahau mapito yote ...mmefanya JPM anahisi mtamkumbuka tu maana mlijiapiza uadui kwa JK pia .....mnashangilia michango ya kina Bashe bungeni huku mnasahau kuwa ukija uchaguzi CCM wanaongea lugha moja ....mkianza kuwajibishana ndani kwa makosa ya kipuuzi kama yale ambayo mwenyekiti alijiapiza ndio mtaweza kuwa na ujasiri wa kupambana na CCM ....Leo ndani wote mnamuogopa Mbowe ....alafu mnataka ujasiri kwa JPM!!! ....Tuache kudanganyana ...tuanze kuambizana ukweli ili kila anayeamua kusimama na mageuzi awe amejikana kwelikweli ....
Mwanaume yeyote mpenda K tofauti tofauti au hit and run huwa hana msimamo na huwezi kumuamini ni kigeugeu na mzabinazabinaMaajabu ya mwaka ! Nyani ngabu anauchungu na Tundu Lissu leo ?
Kuna takataka zingine humu JF usijibu! Anasema madogo akiuawa baba , mama, mke au mtoto wake atasema madogo? Takataka zingine achana nazo. Humu JF kama ni junk site to some extent kwa sababu ya anonymity, jitu lolote linaweza kuandika lolote! Kwenye open newspaper mtu hataandika hivi maana anaogopa credibility yake ( if at all he is credible) itaharibikaKuna vitu vya kuiga lkn sio ujinga kama huu, narudia tena tuige mazuri haya mengine tuwaachie wenyewe
Mnafiki na mkabila mkubwa huyo ni wa kupuuzwa tu.Maajabu ya mwaka ! Nyani ngabu anauchungu na Tundu Lissu leo ?
Inavyoonekana ukiwa mpinzani mwenye nguvu nchi hii automatically unakuwa mhalifu, na unapewa hukumu za namna nyingine tofauti na sheria za nchi zilizowekwa.Cdm hawana imani na jeshi la polisi na sidhani kama watakuwa nayo kwa mwenendo huu. Hivi kama Lissu na dereva wangekufa uchunguzi usingefanyika? Kwahiyo rais anaongopea umma uchunguzi wa yule binti wa juzi ufanyike wakati hakuna wa kumuhoji? Kuwa na aibu dogo.
Tatizo liko hapo ...hii kutaka mambo yapite kirahisi ndio pia yanayowafanya mumshangilie JK kirahisi na kusahau mapito yote ...mmefanya JPM anahisi mtamkumbuka tu maana mlijiapiza uadui kwa JK pia .....mnashangilia michango ya kina Bashe bungeni huku mnasahau kuwa ukija uchaguzi CCM wanaongea lugha moja ....mkianza kuwajibishana ndani kwa makosa ya kipuuzi kama yale ambayo mwenyekiti alijiapiza ndio mtaweza kuwa na ujasiri wa kupambana na CCM ....Leo ndani wote mnamuogopa Mbowe ....alafu mnataka ujasiri kwa JPM!!! ....Tuache kudanganyana ...tuanze kuambizana ukweli ili kila anayeamua kusimama na mageuzi awe amejikana kwelikweli ....