Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,568
Mleta mada ameleta ili kuwaKuna vitu vya kuiga lkn sio ujinga kama huu, narudia tena tuige mazuri haya mengine tuwaachie wenyewe
Ingekuwa hivyo Marekani na Uingereza kila baada ya miaka minne wana recruit wafanyakazi wapya wenye uanachama wa chama tawala kwa wakati huo.
choresheni tu, hivyo inabidi kwenda naye vile atakavyo. Amesha jamba na sasa anawasha feni