Sasa unataka uhuni huo uendelee!Manara alikamatwa Kwa kosa la kutangaza Habari Za MO kutekwa bila ya kutumwa Na familia
Kuna penal code iliyotumika?
Ahojiwe ili iweje kwani ni uongoZitto anapaswa kuhojiwa ili asema kama hiyo Jamuhuri ni ya Korea Kusini ama la
Infantry sojaGood
Ndo kazi yake we ulitaka apoe utadhan kanyeshewa mvua???Hewa chafu iliyopo angani .....inazidi kuharibu bongo za tuliona ni wasomi na watu wenye umuhimi katika taifa....zitto anatafuta kiki ya kisiasa....tu