Dr Programmer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 313
- 343
Na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri, poor you! Kusikia husikii hata kuona hauoni! Fyuuuuuu
Taking back on track a politician who uses insulting rhetorics on social media pia ni jambo lenye tija kwa taifa. Zitto akitumia lugha ya matusi Kama mwanasiasa kwenye world wide web, dunia nzima itadhani kumbe Tanzania nzima ina wanasiasa wa hovyo. Hii ni mbaya sanaHakuna wa kukutukana labda nafsi yako inakusuta. Hata kama ZK amemaanisha lakini yako mambo mengi ya msingi ungeweza kuandika yenye tija kwa taifa lako.
Wamesema kaingilia uchunguzi wa polisiMie nimezungumzia hoja ya penal code
Kama Mtu kukamatwa Ni lazima itumike penal code wapi kwenye penal code inasema ni kosa kutangaza Habari Za Mtu kutekwa bila ya Ruhusa ya Familia ?
Shikamooni wakubwa zangu wote.
Zitto kama mwanasiasa ndiye anayepaswa kuwa kioo cha jamii kuanzia mienendo, lugha mpaka utii wa sheria za nchi (kutotumia lugha zenye ukakasi na kejeli) leo ndio unaandika maneno ya hovyo kwenye mitandao.
I'm very disappointed with you brother.
OUR MOTTO
=========View attachment 900728
Espionage: Majasusi wa Mossad alivyoiba mkojo wa rais Hafez kwa kutumia CHOO CHA BANDIA - JamiiForums
Toka ndani ya hilo box aisee. Mbona kuna kiongozi mkuu wa United Republic of Miscellaneous alijinasibu mbele ya wapiga kura wake kuwa yeye ni"kichaa"? Ina maana waliompigia kura nao ni vichaa siyo? Kwanza tuanze na huyo alafu ndiyo tumjadili ZZK.Hewa chafu iliyopo angani .....inazidi kuharibu bongo za tuliona ni wasomi na watu wenye umuhimi katika taifa....zitto anatafuta kiki ya kisiasa....tu
Dogo, shughulika na shida zako na acha kulialia humu na habari zako za kusadikika! Unajichanganya mwenyewe na wazo la mtu lisilokuhusu hata! Na maswali unayohangaika kujiuiza na kumshtakia ni visivyokuwepo na kuwezekana! Tafuta kitabu cha abunuwazi ukisome huenda ukagundua sheria aliyovunja Zitto! Acheni kutafuta vyeo humu!Jamuhuri ya Muungano wa wahuni ipo bara gani mkuu? Au wahuni ni neno la staha kwa mwanasiasa kama zitto?
Ndiyo ni kutoa taarifa za uongo, si alisema katumwa na familia wakati ni uongo?Manara alikamatwa Kwa kosa la kutangaza Habari Za MO kutekwa bila ya kutumwa Na familia
Kuna penal code iliyotumika?