Jeshi la Polisi Mwanza limewakamata wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi

Jeshi la Polisi Mwanza limewakamata wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi, waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume na sheria kwa kutumia usafiri wa magari Mawili tofauti ya abiria

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana, Novemba 23 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbroad Mutafungwa, watuhumiwa hao walikamatwa kwenye kizuizi cha barabara kilichopo Kijiji cha Busisi, Tarafa ya Sengerema saa 7:30 mchana wakisafiri ndani ya Basi gari aina ya tata linalofanya safari zake za Kabanga (Ngara) kwenda Mwanza.

"Jumla ya wahamiaji haramu 13 walikamatwa tarehe Novemba 23, 2025 majira ya 7.30 mchana wakiwa wanasafiri ndani ya gari aina ya Tata yenye usajiri T. 337 DYA, mali ya Chiza Francis Lugubi, mkazi wa Dodoma, linalofanya safari zake kati ya Kabanga (Ngara, Kagera) na Mwanza,"

Hata hivyo Kamanda Mutafungwa amesema walifanikiwa kumkamata Kondakta wa Basi hilo, Pendo Matembere (36) Mkazi wa Nyegezi jijini Mwanza, huku dereva wa gari hilo Jonas Richard akifanikiwa kutoroka


 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi, waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume na sheria kwa kutumia usafiri wa magari Mawili tofauti ya abiria

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana, Novemba 23 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbroad Mutafungwa, watuhumiwa hao walikamatwa kwenye kizuizi cha barabara kilichopo Kijiji cha Busisi, Tarafa ya Sengerema saa 7:30 mchana wakisafiri ndani ya Basi gari aina ya tata linalofanya safari zake za Kabanga (Ngara) kwenda Mwanza.



"Jumla ya wahamiaji haramu 13 walikamatwa tarehe Novemba 23, 2025 majira ya 7.30 mchana wakiwa wanasafiri ndani ya gari aina ya Tata yenye usajiri T. 337 DYA, mali ya Chiza Francis Lugubi, mkazi wa Dodoma, linalofanya safari zake kati ya Kabanga (Ngara, Kagera) na Mwanza,"

Hata hivyo Kamanda Mutafungwa amesema walifanikiwa kumkamata Kondakta wa Basi hilo, Pendo Matembere (36) Mkazi wa Nyegezi jijini Mwanza, huku dereva wa gari hilo Jonas Richard akifanikiwa kutoroka.
 
Yaan kumbe hawa jamaa huingii humu tz kisimple tu yaan,yaan wanasafir kama watz tu

Sasa sjui hawakujua kama sahv kuna kukaguliwa

Ndo hvyo imekula kwao
 
Mnakamata warundi, warwanda,congo.
Si ndugu tu hao?
Zambia, Malawi hao ni ndugu majirani tu. Muwape hifadhi hapo wanapita tu kutafuta mambo ingine mbele huko
Ninao watano hapa jirani na sioni tabu kukaa nao, kula,kunywa piga story sana tu.
 
1763973958121.jpg
 
Rais Ndayishimiye
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi, waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume na sheria kwa kutumia usafiri wa magari Mawili tofauti ya abiria

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana, Novemba 23 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbroad Mutafungwa, watuhumiwa hao walikamatwa kwenye kizuizi cha barabara kilichopo Kijiji cha Busisi, Tarafa ya Sengerema saa 7:30 mchana wakisafiri ndani ya Basi gari aina ya tata linalofanya safari zake za Kabanga (Ngara) kwenda Mwanza.

"Jumla ya wahamiaji haramu 13 walikamatwa tarehe Novemba 23, 2025 majira ya 7.30 mchana wakiwa wanasafiri ndani ya gari aina ya Tata yenye usajiri T. 337 DYA, mali ya Chiza Francis Lugubi, mkazi wa Dodoma, linalofanya safari zake kati ya Kabanga (Ngara, Kagera) na Mwanza,"

Hata hivyo Kamanda Mutafungwa amesema walifanikiwa kumkamata Kondakta wa Basi hilo, Pendo Matembere (36) Mkazi wa Nyegezi jijini Mwanza, huku dereva wa gari hilo Jonas Richard akifanikiwa kutoroka


😂😂😂
 
Back
Top Bottom