kimeloki
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 2,730
- 2,832
Uko sahihi kabsa. ....Sema Polisi, sio Jeshi!
Polisi ni Polisi tu, hakuna kitu kama jeshi la Polisi!
Uko sahihi kabsa. ....Sema Polisi, sio Jeshi!
Polisi ni Polisi tu, hakuna kitu kama jeshi la Polisi!
Hakuna watumishi nisiowapenda nchi hii kama hawa viumbe. Hata mtoto nitamlaaniPolisi ndio wavunjaji namba MOJA wa Haki za binadamu
PRA imeanzishwa lini mkuu ?Weee!!! Hawasemwi hawa watu.maana waliingizia taifa hela.nyingi sana (Police Revenue Authority)
Raia wa nchi hii kitu ambacho hawana ni mahali pa kusemea dhuluma wanazofanyiwa, na mahali pa kusemea kudai haki yao. Ukisemasema sana unaambiwa unachochea vurugu, haya banaMara nyingi Jeshi la polisi linashutumiwa kwa mambo mbalimbali hasa uonevu na kutumia nguvu zisizo za lazima!
Leo nimeona taarifa ya habari itv,kulikuwa na msako wa watu wanaotengeneza bidhaa feki!Nilichoshangaa ni kitendo cha polisi mwanamke kuanza kumchapa makofi binti ambaye tayari alikuwa amesurrender!Yaani mtuhumiwa tayari umemuweka chini ya ulinzi na wala hajaresist halafu unaanza kumpa kipigo! Kama jeshi linashindwa kufuata sheria tena hadharani,wanatoa picha gani kwa wananchi?
Jeshi ndio ambalo linatakiwa lisimamie sheria ndio linavunja sheria tena hadharani?Polisi ana mamlaka ya kumpiga mtu hata kama ni mhalifu akiwa chini ya ulinzi?shame
Cc Mwigulu Nchemba
Kuna sheria ambazo ni basic,kama hizi zinazohusiana na watuhumiwa!Polisi wa nchi za wenzetu wakikumata,kwanza wanakueleza uko chini ya ulinzi na una haki ya kukaa kimya maana chochote usemacho kinaweza kutumika dhidi yako kama ushahidi mahakamani!Jamani muda wa miezi sita ni mchache sana kwa mtu ku-master sheria zote, ku-master mguu upande na mguu sawa. Wengi hutoka mafunzoni na uelewa mdogo wa sheria.
Wewe ndiyo unatakiwa kua na aibu kwa kupata uchungu wahalifu wanapochukuliwa hatua au na wewe ni mmoja wao.hata aibu huna
nani wa kulaumiwa...mkuu.??..Hawa polisi wanamalizia stress zao kwa wananchi
Kwani polisi ikiitwa idara/jeshi inapunguza au inaongeza nini labda, kwao polisi wenyewe au kwako wewe??? Maana inawezekana nikakuelewa.Sawa we endelea kuamini hivyo utakuja kuelewa badae Sana!
Mkuu wewe usikose usingizi wewe ita idara tu, kuokoa muda ila hao ni wanajeshi kutokea kwenye majeshi yao sio tpdf.Ni kweli Polisi ni idara, Magereza wanaitwa Tanzania Prisons Service. Ila kuitwa majeshi lilitolewa kama tamko la kisiasa nadhani wakati wa vita ya kagera!
Hilo moja lenyewe halina vifaa vya kisasa unaliitaje jeshi???Wataelewa tu!,
Jeshi ni Moja tu Tanzania!
Sijapata ona nchi Ina majeshi zaidi ya Moja!
Hahaaa.....PRAWeee!!! Hawasemwi hawa watu.maana waliingizia taifa hela.nyingi sana (Police Revenue Authority)
Mh, aliyekwambia polisi wanasoma sheria nani, waulize kama wanapewa hata cheti.Jamani muda wa miezi sita ni mchache sana kwa mtu ku-master sheria zote, ku-master mguu upande na mguu sawa. Wengi hutoka mafunzoni na uelewa mdogo wa sheria.
Hao Polisi ndio Wana vifaa vya kisasa?Hilo moja lenyewe halina vifaa vya kisasa unaliitaje jeshi???
Majeshi gani mkuu?Mkuu wewe usikose usingizi wewe ita idara tu, kuokoa muda ila hao ni wanajeshi kutokea kwenye majeshi yao sio tpdf.