Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam latoa onyo kwa wanaopanga kuandamana kesho

Pindi upelelezi utakapokamilika, Tundu Lissu atafikishwa mahakamani ambapo Mawakili watapata fursa ya kumtetea. Kwa sasa waliache Jeshi la Polisi lifanye kazi yake na tunawaahidi kuwa haki itatendeka.
Haki ya mtuhumiwa kutetewa haianzii mahakamani.

Haki hiyo huanza kabla hata hajakamatwa na baada ya kukamatwa. Haki hiyo huendelea mpaka atakapofikishwa mahalamani. Kifungu cha 57 cha kanuni kendesha kesi za jinai
 
Mbona tamko limekaa kama singeli hawa polisi kweli wamekaguliwa vyeti feki ? Tamko gani hilo la kijinga hivyo. Shame on you .
 
Maandamano hufanywa na watu wa chini,
Kwa wanasheria ambao tayari wameshashiba bia+nyama choma

Nina uhakika 100% kesho hakuna atakae jitokeza barabarani.
 
Zipo taarifa zinazosambaa kupitia mitandao ya kijamii zikisema kuwa baadhi ya wanasheria wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika, TLS kwa kushirikiana na viongozi na wafuasi wa Chama kimoja cha Siasa na baadhi ya taasisi zisizo za kiserikali kinapanga kuitisha maandamano kesho Jumatatu tarehe 24 Julai 2017. Hoja zinazotolewa na wanaopanga maandamano hayo ni kushinikiza Rais wa chama hicho ambaye tunamshikilia kwa upelelezi aachiwe huru.

Ieleweke kwamba, Tundu Lissi hashikiliwi kwa vile tu ni mwanasheria ama ni Rais wa TLS ama ni Mwanasheria wa CHADEMA. Anashikiliwa kutokana na makosa aliyotenda ambayo Jeshi la Polisi linaendelea kuyachunguza. Pindi upelelezi utakapokamilika, Tundu Lissu atafikishwa mahakamani ambapo Mawakili watapata fursa ya kumtetea. Kwa sasa waliache Jeshi la Polisi lifanye kazi yake na tunawaahidi kuwa haki itatendeka.

Pamoja na ukweli kwamba, uwepo wa maandamano hayo umesambaa kupitia mitandao ya kijamii na kwamba hakuna taarifa rasmi zilizotolewa na waratibu wa maandamano hayo kwa Jeshi la Polisi, ni dhahiri kwamba yana nia ovu na yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani. Kwa taarifa hii, Onyo Kali linatolewa kwa wale wote watakaojaribu kufanya mikusanyiko mahala popote ndani ya Kanda ya Dar es Salaam kwa nia ya kufanya maandamano. Jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua kali dhidi yao.

Jeshi la Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam
Pinda alishawahi kusema wapigwe tu hakuna namna
 
Hili picha linavyoenda hawa makanika watakujaleta zigo la lawama kuwa wapinzani ndio wamekwamisha viwonder,wacha move iyendelee.
 
IGP umekosea sana kama wao walitaka kufanya kimya kimya na wewe ungewanyatia kimya kimya ukawaonyesha kilichomtoa kanga manyoya!
 
Wangekuwa na busara basi wangeanza kumuonya Lissu kwamba kutumia lugha ya ukali, kashfa, dharau na kuudhi si njia sahihi katika kudai anachokiita haki. Kama ni sheria inavunjwa basi inadaiwa kwa kutumia njia sahihi za kisheria na si kama anavyofanya. Na pia Lissu kuwa Rais wa TLS hakumfanyi kuwa juu ya sheria. Akikosea anashughulikiwa kama kawaida. Lakini pamoja na yote hao wanasheria wenzake wamesahau kuwa sheria inawaruhusu polisi kumshikilia mtuhumiwa kwa zaidi ya masaa 48 ikiwa tu wataona kuna ulazima wa kufanya hivyo.
 
Zipo taarifa zinazosambaa kupitia mitandao ya kijamii zikisema kuwa baadhi ya wanasheria wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika, TLS kwa kushirikiana na viongozi na wafuasi wa Chama kimoja cha Siasa na baadhi ya taasisi zisizo za kiserikali kinapanga kuitisha maandamano kesho Jumatatu tarehe 24 Julai 2017. Hoja zinazotolewa na wanaopanga maandamano hayo ni kushinikiza Rais wa chama hicho ambaye tunamshikilia kwa upelelezi aachiwe huru.

Ieleweke kwamba, Tundu Lissi hashikiliwi kwa vile tu ni mwanasheria ama ni Rais wa TLS ama ni Mwanasheria wa CHADEMA. Anashikiliwa kutokana na makosa aliyotenda ambayo Jeshi la Polisi linaendelea kuyachunguza. Pindi upelelezi utakapokamilika, Tundu Lissu atafikishwa mahakamani ambapo Mawakili watapata fursa ya kumtetea. Kwa sasa waliache Jeshi la Polisi lifanye kazi yake na tunawaahidi kuwa haki itatendeka.

Pamoja na ukweli kwamba, uwepo wa maandamano hayo umesambaa kupitia mitandao ya kijamii na kwamba hakuna taarifa rasmi zilizotolewa na waratibu wa maandamano hayo kwa Jeshi la Polisi, ni dhahiri kwamba yana nia ovu na yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani. Kwa taarifa hii, Onyo Kali linatolewa kwa wale wote watakaojaribu kufanya mikusanyiko mahala popote ndani ya Kanda ya Dar es Salaam kwa nia ya kufanya maandamano. Jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua kali dhidi yao.

Jeshi la Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam
Polisiccm wengi hawana vyeti lazima wafanye kazi ya kujipendekeza kwa Mtukufu malaika wa chato ili awaache waendelee kula mishahara na Rushwa kwa vyeti vyao feki, wameacha kulilia haki zao wajengewe nyumba makazi bora wamekariri zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM ni bora kinana afungue Tawi la CCM kila kituo cha polisi ili polisi wote wapewe kadi za CCM.
 
Zipo taarifa zinazosambaa kupitia mitandao ya kijamii zikisema kuwa baadhi ya wanasheria wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika, TLS kwa kushirikiana na viongozi na wafuasi wa Chama kimoja cha Siasa na baadhi ya taasisi zisizo za kiserikali kinapanga kuitisha maandamano kesho Jumatatu tarehe 24 Julai 2017. Hoja zinazotolewa na wanaopanga maandamano hayo ni kushinikiza Rais wa chama hicho ambaye tunamshikilia kwa upelelezi aachiwe huru.

Ieleweke kwamba, Tundu Lissi hashikiliwi kwa vile tu ni mwanasheria ama ni Rais wa TLS ama ni Mwanasheria wa CHADEMA. Anashikiliwa kutokana na makosa aliyotenda ambayo Jeshi la Polisi linaendelea kuyachunguza. Pindi upelelezi utakapokamilika, Tundu Lissu atafikishwa mahakamani ambapo Mawakili watapata fursa ya kumtetea. Kwa sasa waliache Jeshi la Polisi lifanye kazi yake na tunawaahidi kuwa haki itatendeka.

Pamoja na ukweli kwamba, uwepo wa maandamano hayo umesambaa kupitia mitandao ya kijamii na kwamba hakuna taarifa rasmi zilizotolewa na waratibu wa maandamano hayo kwa Jeshi la Polisi, ni dhahiri kwamba yana nia ovu na yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani. Kwa taarifa hii, Onyo Kali linatolewa kwa wale wote watakaojaribu kufanya mikusanyiko mahala popote ndani ya Kanda ya Dar es Salaam kwa nia ya kufanya maandamano. Jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua kali dhidi yao.

Jeshi la Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam
Kwani majibu ya mkojo hayajatoka?
 
Back
Top Bottom