PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,781
Askari wa Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar Es salaam leo hii watafanya maandamano makubwa na ya kihistoria kupinga Unyanyasaji wa Kijinsia kwa watoto nchini
Source: Magazeti RFA.
My take.
Walitakiwa waanze kwa kuandamana kupinga mauaji ya raia wasio na hatia.
Source: Magazeti RFA.
My take.
Walitakiwa waanze kwa kuandamana kupinga mauaji ya raia wasio na hatia.