Jeshi la Polisi Dar kuandamana Leo...

Jeshi la Polisi Dar kuandamana Leo...

nasubiri kusikia gharama zilizotumika kuandaa tukio hili wanaloliita la kihistoria
 
sio matakwa yao kufanya maandamano hayo. kwa sababu jeshi huongozwa kwa utii, hawana budi kufanya hayo maanda mano kwa matakwa ya bosi wao.
 
midhali siwapendi basi ntawapinga kila wanalolifanya, wala siulizi nikifika tu nauliza nani? kafanya hili nikijibiwa ni polisi basi ntampinga hapohapo, polisi wanafanya maandamano ya kupinga unyanyasaji wa watoto kijinsia, unapinga nini? nini wao ndiyo wenye data za kila aina ya uhalifu , kupungua au kuongezeka . na aina hii ya uhalifu unatokea zaidi ndani ya jamii .haizuiliki kwa askari kufanya doria ni sisi wenyewe raia ,tuone na tujitolee kutoa taarifa polisi/ ustawi wa jamii. unyanyasaji huu ukiachwa ,unazaa aina nyingine ya uhalifu ambao utafanywa na hao watoto walionyanyaswa pindi wanapokuwa wakubwa.vitendo vya ukabaji, ukahaba, ujambazi, madawa ya kulevya na nk. hivyo ni jukumu la polisi kuelimisha umma na umma unatakiwa kupokea kwa dhati sio kejeli na kutoa mawazo ya kufurahisha genge, jamii ni yetu sote tu ,waathirika.
Kwahiyo kuandamana ndiyo njia ya kuelimisha?
Mbona waelimishaji rika ni wengi sana, na NGO kwa eneo hilo(Jinsia na watoto) ni nyingi sana?
Zawadi kubwa ambayo wangetoa kwa wananchi ni kumaliza upelelezi wa kesi za unyanyasaji katika muda fulani(time frame)
Kitendo cha kuandamana watapoteza useful time ya kazi, ambapo impact yake ni zero!
 
Eti jeshi la police linaandamana jamani?
Kwa nini wasinyimwe na wao kuandamana?
Ama wamechaguliwa wale makuruta tu ndiyo wafanye zoezi hilo!

Ama kweli polisisisiem nao wamechoka na serikali yao legelege!
 
Hawaogopi makamanda wa chadema??

Mana hao wakiziona gwanda za pipoz pawa tuh wanaweweseka

wanahis kama nchi inachukuliwa leo vile
 
nadhani wao hawahitaji kibali. ile wengine ni lazima kisheria,
 
Kwahiyo kuandamana ndiyo njia ya kuelimisha?
Mbona waelimishaji rika ni wengi sana, na NGO kwa eneo hilo(Jinsia na watoto) ni nyingi sana?
Zawadi kubwa ambayo wangetoa kwa wananchi ni kumaliza upelelezi wa kesi za unyanyasaji katika muda fulani(time frame)
Kitendo cha kuandamana watapoteza useful time ya kazi, ambapo impact yake ni zero!
ahsante mkuu, pasinashaka yoyote kuandamana ni moja ya njia ya kuelimisha umma, dunia nzima watu hutumia njia hii kutoa ujumbe ambao ndiyo elimu yenyewe kwa wahusika. naam juhudi kubwa inafanywa na vikundi mbalimbali kutoa elimu na ufuatiliaji wa kina kuhakikisha jamii inafahamu na kuliondoa tatizo hili,lkn bado yawezekana polisi nao wameona iko haja na wao kwa kushirikiana na wananchi waandamane nao ktk kutoa elimu. umeona sasa hata wewe ,umechangia kwa kutoa changamoto za kesi zimalizike upelelezi kwa wakati, sasa hapo hata jamii inabidi ielimishwe kukubali kutoa ushahidi na wasichoke na ile khali ya nenda rudi ya mahakama. unajua kama mtu hausiano na muasirika zaidi ya ujirani ,hakawii kukata tamaa. na huona ni usumbufu kesi inapofutwa kwa mashahidi kutotokea lawama zote huangukia polisi'
 
Ngoja niandae flying objects zangu niwatulize wavunjifu wa amani hawa nyambaff!!


Naomba mnifahamishe njia watakayopita na muda.
 
nasubiri kusikia gharama zilizotumika kuandaa tukio hili wanaloliita la kihistoria
Mkuu,
Hizo ni siri za Jeshi letu la polisi, hazitakiwi kuwekwa hadharani, tena kwa raia?
 
sio matakwa yao kufanya maandamano hayo. kwa sababu jeshi huongozwa kwa utii, hawana budi kufanya hayo maandamano kwa matakwa ya bosi wao.
Du!
Hawa wakubwa wao wana nia gani masikini!...Usikute kuna Kombati mpya, buti mpya, allowance(lunch, chai, maji ya kunywa, kukodi ambulances, rehearsal costs) na vitu vingine chekwachekwa vimewekwa kwenye list, ambapo wenzangu na mimi wataishia kuvisoma kwenye nyaraka!
Mungu saidia!
 
Miradi ya UNICEF au USAID pole polisi ,n kuanzia leo musije mukatuuliza wananchi vibali saa 48 kabla ya maandamano yetu maana nyie mume timka tuu
 
Hawa wanafiki:majani7::majani7:waandamane kwanza kwa kuua wazazi wa watoto ambao leo ni wakiwa/yatima. Unawezaje kudai haki ya mtoto aliyehai wakati baba yake umemlipua na mabomu kule Mufindi, Kule arusha, kule Igunga???? Hawa si bure huenda wana lao jambo:target:
 
jamani hebu changieni point za msingi, kwani huo unyanyasaji wanafanyiwa watoto wao? police ni kwa manufaa ya umma kumbukeni hao mnaowatusi na kuwakejeli kama sio baba zenu ni mama zenu au ndugu zenu wa karibu. changieni kwa manufaa ya umma.

Hata kama kuna babu zetu, wafanye kazi yao, wanaandamana wamekuwa ngo? Ujumbe wao wanpeleka
 
jamani hebu changieni point za msingi, kwani huo unyanyasaji wanafanyiwa watoto wao? police ni kwa manufaa ya umma kumbukeni hao mnaowatusi na kuwakejeli kama sio baba zenu ni mama zenu au ndugu zenu wa karibu. changieni kwa manufaa ya umma.

Hata kama kuna babu zetu, wafanye kazi yao, wanaandamana wamekuwa ngo? Ujumbe wao wanapeleka kwa nani?

Acha kushabikia upuuzi
 
Polisi wanaandamana kupinga manyanyaso ya watoto
Mhhh mbona hata haileti maana
Wao ndio wanaotakiwa kuwakamata wale wote wanaoziminya haki za watoto na kuwapelekakwenye vyombo vya sheria iweje sasa wao wanaotakiwa kutunza sheria husika wanakuwa wa kwanza kuandamani kulaani
Au jeshi la polisi limekuwa nalo asasi za kiraia
 
Back
Top Bottom