MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,920
- 6,858
Askari wa Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar Es salaam leo hii watafanya maandamano makubwa na ya kihistoria kupinga Unyanyasaji wa Kijinsia kwa watoto nchini
Source: Magazeti RFA.
My take.
Walitakiwa waanze kwa kuandamana kupinga mauaji ya raia wasio na hatia.
Kama wanawajali raia sana ningetegemea waandamane pia japo siku nyingineyo kupinga ukamdamizaji wa polisi wa haki za raia kwa kuwabambikia kesi na extra judicial killings aka "Daudi Mwangosilisation" of innocent civilians!!