Wamerekani wamekuwa wakionesha Dunia kuwa Hesabu ndio kila kitu Jeshini kwani 100% ya maamuzi yanayofanyika jeshini/vitani ni Hesabu & Physics
Mfano:
1. Kurushusha mabomu ni hesabu kwa huku kwetu ipo kwa kidato cha tano Phy/maths
2. Mambo mengi vitani yanahitaji prediction (probability) ipo kwenye hesabu Olevel na Air level
3. Kurusha ndege za kijeshi kwa USAHIHI zinahitaji hesabu na phy kwa asilimia 100
4. Kutumia silaha NA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI ya kijeshi kwa haraka kunahitajika hesabu kwa 100%
Naamini Nchi nyingi zina cha kujifunza kutoka Marekani bila kujidanganya kuwa mtu mwenye sifuri ya hesabu utaenda kumfundisha kurusha mabomu; badala ya kurusha mabomu 3 amalize kazi anaishia kurusha mabomu 20 na hapo pengine mawili tu ndio yamelenga target....nakuishia kuleta hasara ya mabilioni ya pesa.....
Marekali ikiwa na wanajeshi 20 wa kurusha mabomu; wanaweza kufanya kazi nzuri kuliko 200 wa nchi nyingine ambao hesabu sio kipaumbele jeshini.....na ndio sababu Marekani inatishia dunia
Au rubani anazungusha lindege la kijeshi hadi lina angushwa kwa kushindwa kupiga hesabu sahihi au prediction/probability au kufanya maamuzi ya haraka....
Hii ya Hesabu Jeshini ni SIRI NIMEWAPA na wamarekani hawapendi wengine wajue....kazi kwenu!
Mfano:
1. Kurushusha mabomu ni hesabu kwa huku kwetu ipo kwa kidato cha tano Phy/maths
2. Mambo mengi vitani yanahitaji prediction (probability) ipo kwenye hesabu Olevel na Air level
3. Kurusha ndege za kijeshi kwa USAHIHI zinahitaji hesabu na phy kwa asilimia 100
4. Kutumia silaha NA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI ya kijeshi kwa haraka kunahitajika hesabu kwa 100%
Naamini Nchi nyingi zina cha kujifunza kutoka Marekani bila kujidanganya kuwa mtu mwenye sifuri ya hesabu utaenda kumfundisha kurusha mabomu; badala ya kurusha mabomu 3 amalize kazi anaishia kurusha mabomu 20 na hapo pengine mawili tu ndio yamelenga target....nakuishia kuleta hasara ya mabilioni ya pesa.....
Marekali ikiwa na wanajeshi 20 wa kurusha mabomu; wanaweza kufanya kazi nzuri kuliko 200 wa nchi nyingine ambao hesabu sio kipaumbele jeshini.....na ndio sababu Marekani inatishia dunia
Au rubani anazungusha lindege la kijeshi hadi lina angushwa kwa kushindwa kupiga hesabu sahihi au prediction/probability au kufanya maamuzi ya haraka....
Hii ya Hesabu Jeshini ni SIRI NIMEWAPA na wamarekani hawapendi wengine wajue....kazi kwenu!