papason
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 5,119
- 5,709
Hapa nnachookiona ni mmiliki kulipwa Mabilioni ya Shilingi tu !
•Anakibali halali cha ujenzi
•Ubora wa jengo haupimwi kwa macho
•Waliompatia kibali cha kujenga zaidi wapo chini ya Mamlaka ya Mama Anna Tibaijuka, Amewasaka ?
•Badala ya kutoa matamko angesaidiana na mamlaka husika kusafisha Uozo wa kutoa vibali " blindly " katika Bodi yake ya Ukandarasi
Kwa kuwa Mama Tibaijuka ni member (tena halali kabisa) humu jamvini tunakuomba uje ujibi haya maswali mepesi!