johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
- Thread starter
- #81
Kwa mujibu wa kanuni za bunge Spika akikosea anaitwa na kamati ya uongozi ya bunge kuhojiwa!Mh,inaonekana spika yuko juu ya sheria
Ana kinga
Ova
Kwa mujibu wa kanuni za bunge Spika akikosea anaitwa na kamati ya uongozi ya bunge kuhojiwa!Mh,inaonekana spika yuko juu ya sheria
Ana kinga
Ova
perepeche tu hizo, CCM ni ukoo mmmoja wa panya, wanazidiana ndevu tu ila ni kitu kimoja.Jerry Silaa ambaye ni mheshimiwa mbunge wa ukonga kwa tiketi ya CCM, leo saa 4 asubuhi anatazamiwa kuletwa mbele ya kamati ya maadili ya bunge akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Aidha, mashtaka ya Jerry Silaa sasa yatakuwa matatu
1. Kusema uongo
2. Kuvunja heshima ya Bunge
3. Kudharau wito wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge
Ngoja tuone.
Updates;
Aise,tuna spika makini sana basi maana hajawahi kuitwa na kamati yao?Kwa mujibu wa kanuni za bunge Spika akikosea anaitwa na kamati ya uongozi ya bunge kuhojiwa!
Kodi ni swala mtambuka Jerry Slaa hajasema wabunge hawalipi PAYE, uwe unaelewa bwashee!Ili kukata mzizi wa fitna, Jerry aweke wazi salary slip yake. Asipofanya hivyo tutaamini alikuwa anafanya usanii tu.
Amandla...
Ndio maana yake bwashee!Aise,tuna spika makini sana basi maana hajawahi kuitwa na kamati yao?
Ova
acha upumbavu, Jerry anapaswa kujenga barabara na kutatua kero?Jerry Slaa tangu alipopata kura yangu kati ya nyingi nyingine alizopata kupitia ushawishi wa JPM hajaonekana huku jimboni kwake ambapo kuna kero nyingi tu tena za miaka mingi.
Kama ataadhibiwa na Spika kwa kutoa siri kuwa wabunge hawalipi kodi na yeye kama sisi anaamini kuwa kwenye mapato ya mbunge, kodi hata kama wanalipa ni kidogo, ukilinganisha na mwananchi anavyokamuliwa, ni bora ajiuzulu tu hiyo nafasi awaachie wale wasioona taabu kuwa wanafiki.
Jimbo hili hata hivyo halikuwahi kuwa na mbunge. Ni uchochoro tu wa Watu kujinufisha.
HOJAA HAIPINGWI NA NYUNDOJerry Silaa ambaye ni mheshimiwa mbunge wa ukonga kwa tiketi ya CCM, leo saa 4 asubuhi anatazamiwa kuletwa mbele ya kamati ya maadili ya bunge akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Aidha, mashtaka ya Jerry Silaa sasa yatakuwa matatu
1. Kusema uongo
2. Kuvunja heshima ya Bunge
3. Kudharau wito wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge
Ngoja tuone.
Updates;
Ndiyo hivyoAise
Ova
Mshahara 4.6M unakatwa kodi lakini zile milioni 8 zingine hazikatwi kodiinabidi tuanze kampeni ya kupost salary slip ...na wabunge waposti tuone kama kweli wanalipa kodi...
Lazima na hizo zingine zikatwe kodi. Any income/earning lazima ikatwe kodi. PAYE means "Pay As You Earn" sasa mbona hizo earnings zingine wanakwepa kodi. Haya machungu ya PAYE lazima wote tuyaonje. Wanapika wao halafu hawali, lazima tule wote.Mshahara 4.6M unakatwa kodi lakini zile milioni 8 zingine hazikatwi kodi
Yaani anekushitaki ndio mtoa uamuzi wa mwisho? Mfumo gani huu wa utoaji haki?Huwa wanaenda kama mashahidi na siyo watuhumiwa ndio maana hawaruhusiwi kuwa na mawakili.
Spika ndio anawashtaki na wao huenda kutoa ushahidi wao kwenye kamati kisha ripoti hupelekwa kwa Spika ambaye hutoa maamuzi ya mwisho.
Anza na mshahara wa Rais huo hata mia haukatwi na huku anajiita mzalendoLazima na hizo zingine zikatwe kodi. Any income/earning lazima ikatwe kodi. PAYE means "Pay As You Earn" sasa mbona hizo earnings zingine wanakwepa kodi. Haya machungu ya PAYE lazima wote tuyaonje. Wanapika wao halafu hawali, lazima tule wote.
Si ndio maana aweke wazi pay slip yake ili watu wajue hazungumzii PAYE. Na aweke wazi kodi zipi ambazo wabunge wanasamehewa kama wabunge.Kodi ni swala mtambuka Jerry Slaa hajasema wabunge hawalipi PAYE, uwe unaelewa bwashee!
Kuna mambo ya exemptions nk....nk!
Karipoti kituo chochote cha polisi kilicho jiraniKuhojiwa na Kamati hakuhitaji kwenda na mwanasheria, kwasababu hii sio mahakama ni just a quasi judicial body na ilipaswa kuishia kwa wabunge tuu. Hii ya Bunge kuwahoji watu nje ya Bunge kama mimi nilivyo itwa ni kinyume cha justice system yetu!.
Bunge limejiinua mno hadi masikio kutaka kushinda kichwa!.
P
Sasa mpumbavu hapa ni nani kama sio wewe usiyejua uhusiano uliopo kati ya Bunge na Serikali. Halafu fafanua kwanza maana ya MATAGA ieleweke kwa wote ili uwezo wako wa kufikiri upimwe kabla hujabatizwa jina kwa kuandika kilugha.acha upumbavu, Jerry anapaswa kujenga barabara na kutatua kero?
Unajua majukumu ya serikali na majukumumya mbunge?
MATAGA mna funza kichwani.
Uswazi, hakuna kitakachoendelea bila lawyer wako. Hata kama ni internal matter. Ndiyo maana hakuna ujinga ujinga kama wa kwetu.Kuhojiwa na Kamati hakuhitaji kwenda na mwanasheria, kwasababu hii sio mahakama ni just a quasi judicial body na ilipaswa kuishia kwa wabunge tuu. Hii ya Bunge kuwahoji watu nje ya Bunge kama mimi nilivyo itwa ni kinyume cha justice system yetu!.
Bunge limejiinua mno hadi masikio kutaka kushinda kichwa!.
P