crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,951
Wabunge wanatakiwa walipe Kodi. Na mtu anayeliongelea hilo inabidi apewe support hata kama si wa chako.Hizi movie zenu za kipumbavu kuhamisha attention za watu mtaacha lini?
Ukisema unahamishwa kwenye attention yako, hapo ulipo mpaka sasa ume-achieve nini kwenye hiyo attendion uliyopo?!