Yupo huko ili apate cheo walau cha uDC maana kajaribu kulamba viatu vya wala keki wapi???mwenzake Msiba nae sii muda mrefu ataenda huko.Huko ni kuabudu mtu Nabii Joshua,sii MunguNiko naangalia Chanel ya Emmanuel TV inayoonyesha huduma za kiroho za Prophet TB Joshua kutoka kanisa la SCOAN lilililoko Lagos Nigeria nikamuona Mtangazaji wa zamani,msemaji was zamani was Yanga na kada wa ccm Jerry Murro akiwa viti vya mbele na watanzania wenzake.Hongera Jerry Murro kwa kuwa deep kwa Mambo ya kiroho ,vijana tuamke
Nikisikia neno Nabii,nareflect ideology za Tito!Niko naangalia Chanel ya Emmanuel TV inayoonyesha huduma za kiroho za Prophet TB Joshua kutoka kanisa la SCOAN lilililoko Lagos Nigeria nikamuona Mtangazaji wa zamani,msemaji was zamani was Yanga na kada wa ccm Jerry Murro akiwa viti vya mbele na watanzania wenzake.Hongera Jerry Murro kwa kuwa deep kwa Mambo ya kiroho ,vijana tuamke
nimeanza kukosa amani na hilo kanisa la SCOAN,kwa nini wanapokea wauaji,wanafiki na hawawaelezi ukweli?Ameenda kumuombea Mtulia
Unakumbuka nywele nyeupe naye alikwenda mbona humtajinimeanza kukosa amani na hilo kanisa la SCOAN,kwa nini wanapokea wauaji,wanafiki na hawawaelezi ukweli?
mwigulu,Jerry muro,magufuli,these are serial killers,bado makonda naye ataenda,yaani hayo ni mapepo ya mauti.