Hata Mwigulu alionekana kwa TB Joshua lakini sasa anashirikiana na akina Kitwanga na Bashite lwenye kikosi kazi .Niko naangalia Chanel ya Emmanuel TV inayoonyesha huduma za kiroho za Prophet TB Joshua kutoka kanisa la SCOAN lilililoko Lagos Nigeria nikamuona Mtangazaji wa zamani,msemaji was zamani was Yanga na kada wa ccm Jerry Murro akiwa viti vya mbele na watanzania wenzake.Hongera Jerry Murro kwa kuwa deep kwa Mambo ya kiroho ,vijana tuamke
Kaenda kutubu baada ya majaribio ya kumuua lissu Dodoma kushindikanaNiko naangalia Chanel ya Emmanuel TV inayoonyesha huduma za kiroho za Prophet TB Joshua kutoka kanisa la SCOAN lilililoko Lagos Nigeria nikamuona Mtangazaji wa zamani,msemaji was zamani was Yanga na kada wa ccm Jerry Murro akiwa viti vya mbele na watanzania wenzake.Hongera Jerry Murro kwa kuwa deep kwa Mambo ya kiroho ,vijana tuamke
Hahahahahaha woyoooo watu MNA maneno sanaAmeenda kupata maombi juu ya tatizo lake la kuropoka bila ufahamu liishe. Pia nyota yake iliyochukuliwa na Musiba irudi.
Kenda kujiganga huyo, kaona hana nguvu yeyote wala kingaBora atubu kabisa kosa la kuropoka na kusingizia.
Bado tunamsubiria Jiwe.
Bora atubu kabisa kosa la kuropoka na kusingizia.
Bado tunamsubiria Jiwe.
HaaaahaaaaAmeenda kupata maombi juu ya tatizo lake la kuropoka bila ufahamu liishe. Pia nyota yake iliyochukuliwa na Musiba irudi.
Tz kuna wacheshi sana...you made my day..hahahhaAmeenda kupata maombi juu ya tatizo lake la kuropoka bila ufahamu liishe. Pia nyota yake iliyochukuliwa na Musiba irudi.
Tapeli amekwenda kwa tapeli kubwa!Niko naangalia Chanel ya Emmanuel TV inayoonyesha huduma za kiroho za Prophet TB Joshua kutoka kanisa la SCOAN lilililoko Lagos Nigeria nikamuona Mtangazaji wa zamani,msemaji was zamani was Yanga na kada wa ccm Jerry Murro akiwa viti vya mbele na watanzania wenzake.Hongera Jerry Murro kwa kuwa deep kwa Mambo ya kiroho ,vijana tuamke