Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Kwa mara ya Kwanza tangu atenguliwe kwenye Ukuu wa Wilaya , Ndugu Jerry Murro ameonekana hadharani .
Amekutwa ndani ya Bunge huko Dodoma akichangia kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi ( Haijulikani alipelekwa na nani ) , Bali nilichokiona leo nimegundua kwamba Madaraka ndio yanayoharibu tabia za vijana , leo Jerry Murro ameongea kiupole na kwa adabu mno ! Amesisitiza masuala ya umoja wa kitaifa hadi nikashangaa ! Ameonyesha ustaarabu mno !
Japo sikuona cha maana alichochangia kwenye muswada wenyewe zaidi ya kurudiarudia neno 4R , ila nampongeza kwa heshima aliyoionyesha bungeni