Jerry Murro aonekana Bungeni , Aomba umoja wa kitaifa kwenye Miswada ya Uchaguzi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,366
Screenshot_2024-01-06-19-36-41-1.png


Kwa mara ya Kwanza tangu atenguliwe kwenye Ukuu wa Wilaya , Ndugu Jerry Murro ameonekana hadharani .

Amekutwa ndani ya Bunge huko Dodoma akichangia kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi ( Haijulikani alipelekwa na nani ) , Bali nilichokiona leo nimegundua kwamba Madaraka ndio yanayoharibu tabia za vijana , leo Jerry Murro ameongea kiupole na kwa adabu mno ! Amesisitiza masuala ya umoja wa kitaifa hadi nikashangaa ! Ameonyesha ustaarabu mno !

Japo sikuona cha maana alichochangia kwenye muswada wenyewe zaidi ya kurudiarudia neno 4R , ila nampongeza kwa heshima aliyoionyesha bungeni
 
View attachment 2863968

Kwa mara ya Kwanza tangu atenguliwe kwenye Ukuu wa Wilaya , Ndugu Jerry Murro ameonekana hadharani .

Amekutwa ndani ya Bunge huko Dodoma akichangia kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi ( Haijulikani alipelekwa na nani ) , Bali nilichokiona leo nimegundua kwamba Madaraka ndio yanayoharibu tabia za vijana , leo Jerry Murro ameongea kiupole na kwa adabu mno ! Amesisitiza masuala ya umoja wa kitaifa hadi nikashangaa ! Ameonyesha ustaarabu mno !

Japo sikuona cha maana alichochangia kwenye muswada wenyewe zaidi ya kurudiarudia neno 4R , ila nampongeza kwa heshima aliyoionyesha bungeni
Anatafuta pa kutokea huyo maana anaonakasahaulika
 
View attachment 2863968

Kwa mara ya Kwanza tangu atenguliwe kwenye Ukuu wa Wilaya , Ndugu Jerry Murro ameonekana hadharani .

Amekutwa ndani ya Bunge huko Dodoma akichangia kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi ( Haijulikani alipelekwa na nani ) , Bali nilichokiona leo nimegundua kwamba Madaraka ndio yanayoharibu tabia za vijana , leo Jerry Murro ameongea kiupole na kwa adabu mno ! Amesisitiza masuala ya umoja wa kitaifa hadi nikashangaa ! Ameonyesha ustaarabu mno !

Japo sikuona cha maana alichochangia kwenye muswada wenyewe zaidi ya kurudiarudia neno 4R , ila nampongeza kwa heshima aliyoionyesha bungeni


Huyu jamaa siweze kumpa hata muda wangu kama mwananchi wa maana.

Nilipanda naye ndege kutoka KIA mpaka Dar akakaa pembeni yangu alikuwa mkuu wa wilaya. Cha ajabu eti alikataa kufunga mkanda na madada wa ndege walikuwa wanamaogopa kumwambia hilo. Nikamwambia funga mkanda akashangaa sikumuita muheshimiwa! Mkanda ni usalama wa ndege nzima ! Kuanzia siku hiyo najua jamaa ni boya
 
View attachment 2863968

Kwa mara ya Kwanza tangu atenguliwe kwenye Ukuu wa Wilaya , Ndugu Jerry Murro ameonekana hadharani .

Amekutwa ndani ya Bunge huko Dodoma akichangia kuhusu Miswada ya Sheria za Uchaguzi ( Haijulikani alipelekwa na nani ) , Bali nilichokiona leo nimegundua kwamba Madaraka ndio yanayoharibu tabia za vijana , leo Jerry Murro ameongea kiupole na kwa adabu mno ! Amesisitiza masuala ya umoja wa kitaifa hadi nikashangaa ! Ameonyesha ustaarabu mno !

Japo sikuona cha maana alichochangia kwenye muswada wenyewe zaidi ya kurudiarudia neno 4R , ila nampongeza kwa heshima aliyoionyesha bungeni
Hahahaa hajulikan nan alimpeleka na anarudia neno 4R
 
Back
Top Bottom