Jerry Muro Awaombea Rais Magufuli, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,mnakumbuka huyu jamaa aliwapiga picha kwa siri askari wa barabarani wala rushwa kitendo ambacho kilimng'arimu sana ukizingatia awamu ya nne haikujali sana wala rushwa.
Kabisa, Muro lazima aringe awamu hii sababu inapambana na kile alichopambana nacho. Yuko vizuri upande huo.
 
hivi hawa vijana kwa nini wasitumie elimu zao katika kulisaidia taifa letu badala yake ni kujipendekeza tu kila uchao Hawa in watu wa kuogopwa kwa sabb hawana mapenzi mema na taifa ila no kwa ajili ya matumbo yao muwe na aibu, vijana mujitaidi kuficha ujinga wenu wa kujipendekeza, Mara ooh chama bora sijui rais mpendwa utasikia chama kinachopendwa no ujinga mtupu
 
Jamani msaidieni Jerry Muro tusimcheke anahitaji matibabu hasa. " CCM ni chama pekee duniani chenye wanachama wengi ndani na nje ya nchi". Ukisema duniani maana yake na china ipo , USA ipo, Rushia ipo, South Africa ipo, India ipo nk. Tunampoteza hivi hivi. Walio karibu naye wawasiliana naye kabla hajawa mwehu kabisa.
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,mnakumbuka huyu jamaa aliwapiga picha kwa siri askari wa barabarani wala rushwa kitendo ambacho kilimng'arimu sana ukizingatia awamu ya nne haikujali sana wala rushwa.

Kwa hiyo sasa tumsaidiaje huyo mnafiki?!
 
le plofeselipumba nae alikuwa kama wewe akitegemea kupata UGAVANA matokeo baada ya kuangukia pua akaamua kutoa KEBEHI tu kwenye salam zake.
Hivi huko huko CHADEMA vyeo ndo mnapeana kwa kusifia viongozi?
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,mnakumbuka huyu jamaa aliwapiga picha kwa siri askari wa barabarani wala rushwa kitendo ambacho kilimng'arimu sana ukizingatia awamu ya nne haikujali sana wala rushwa.
Na umesahau juzi alivowatetea madiwani walionunuliwa kwa rushwa
 
Back
Top Bottom