Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 14,926
- 20,970
Sasa swali la mleta mada hujalikidhi katika maelezo yako, alikuwa married au divorsed?Marehemu alikuwa na mume aliitwa Eng Muhagama aliwahi kufanya kazi kama sikosei na kampuni ya kijapan ya ukandarasi iliitwa KAJIMA ambayo ilitengenza barabara ya SONGEA ..MBINGA kiwango cha changarawe miaka ya nyuma japo za ndaani mama alishaanza kumtenga baba wakati anataka ubunge viti maalum 2000 na mzee hakutaka aingie kwa siasa