DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,726
- 81,766
Public figure
Kwahiyo ukiwa public figure unabidi Ku-expose taarifa zako?
Public figure
Hili ndilo jibu linalotakiwa!Alifiwa na mume wake 25 years or so ago!
Yap hili tusiwe na viongozi wadangajiKwahiyo ukiwa public figure unabidi Ku-expose taarifa zako?
Yeah Mr Mhagama alikuwa mfanyanyakazi wa wizara ya ujenzi mkoa pale songea namkumbuka alikuwa mtu poa sanaView attachment 3515665
Katika kusikiliza wasifu wa marehemu Jenista Mhagama (RIP), sikusikia jina la mumewe. Niliona watoto wake watano, nilisikia majina ya baba na mama yake. Wapi mume. Siulizi kwa uchimvi bali kutaka kuonyesha aina ya viongozi tunaoletewa bila kuruhusu kujulikana historia sahihi za maisha wala ukweli kuhusiana na maisha. yao. Si tunaambiwa viongozi ni kioo cha jamii. Je, huyu bi mkubwa alikuwa ameolewa, ameachika au hakuwahi kuolewa?
We are taxpayers,consumers vs consumed.We have right to know marital status of our leaders.So we can relate decision making and their familyI will propose changes to our system. Even shere knowing is helpful depending on who one is vis-a-vis publicity.
Kudanga ni mtazamo haumzuii MTU kutimiza majukumu yakeYap hili tusiwe na viongozi wadangaji
Kuna taarifa muhimu lazima zijulikana, ndio maana Kuna nafasi kama huna mke hupewiKwahiyo ukiwa public figure unabidi Ku-expose taarifa zako?
DuhMwanamke awe mwanasiasa then adumu na mumewe , thubutuuuu
Maana Kila hatua anayo taka kupiga lazima avuliwe Pichu ,
Yaani kama wapo ni wachache sana na nilazima wanaume wao wawe ni wapumbavu
Mara nyingine ama tuseme,, mwanasiasa na ndoa wapi na wapi.View attachment 3515665
Katika kusikiliza wasifu wa marehemu Jenista Mhagama (RIP), sikusikia jina la mumewe. Niliona watoto wake watano, nilisikia majina ya baba na mama yake. Wapi mume. Siulizi kwa uchimvi bali kutaka kuonyesha aina ya viongozi tunaoletewa bila kuruhusu kujulikana historia sahihi za maisha wala ukweli kuhusiana na maisha. yao. Si tunaambiwa viongozi ni kioo cha jamii. Je, huyu bi mkubwa alikuwa ameolewa, ameachika au hakuwahi kuolewa?
Kama mali zipo na hatupati kitu wakipiga mnada watagawana wao na kusema sisi ni Walowezi kutoka Somalia unatolewa kwenye mgao.Kwa yanayoendelea Tanzania ni bora nchi ipigwe tu mnada tugawane pesa kila mtu afe na chake!.
Unamzungumziaje Dorothy gwajima?Hakuna mwanamke wa kufika hatua za kina jenista halafu aendelee kuwa na mwanamume,
Wanawake ni viumbe wa ajabu, inadaiwa hata Mkuu hayuko na mumewe.
Wengine ndoa zilikuwa ngumu,walikuwa cheated,abused and everything dirty, ulitaka wafanyaje, don’t judge!Hii ni fasheni, kuna majimama mengi tu hayana waume ila yana watoto. Mengine ni manasiasa, mafanyabiashara, masomi, majariamali na manaharakati. Haya majimama yanayoishi bila mume ndio machochezi ya usingo maza
Swali je kazikwa karibu na Mme wake?Alikuwa mjane. Kisichoeleweka hapo ni kipi? Mume wake Eng. Mhagama alifariki miaka 20+ iliyopita mnachotaka sasa ni nini?
Ndiyo ashaondoka na harudi tena.....Swali je kazikwa karibu na Mme wake?
Imagine awe rais , halafu hana mume, 😅Hayo ni mambo yake binafsi
Kwani samuya zaidi ya kikwekwe anaye?Imagine awe rais , halafu hana mume, 😅
Kwani samuya zaidi ya kikwekwe anaye?