Jenista Mhangama aliwahi kuolewa?

Jenista Mhangama aliwahi kuolewa?

The Father of All, hili jina na Mhagama ni la Marehemu Mumewe. Alishatangulia mbele za haki miaka zaidi ya 20 Sasa kama alidokeza Pulchra Animo. Alikuwa mtu mwungwana sana unapokutana nae. Wote wapumzike kwa AMANI.
Kwa lilivyoelezwa kwenye wasifu wake, hapana, ni la wazazi wake. Maana, halikutajwa la baba yake.
 
Kwa lilivyoelezwa kwenye wasifu wake, hapana, ni la wazazi wake. Maana, halikutajwa la baba yake.
Wasifu niliusikia. Unakumbuka "Ukoo wote wa Ngonyani na Mhagama"? Nikufahamishe nakumbuka vizuri bàadhi ya magumu aliyopitia Mzee Mhagama miaka hiyo. Usitake tuseme mengi. Uliomba kujua tumekusaidia lakini unaonesha una lako jambo
 
Marehemu alikuwa na mume aliitwa Eng Muhagama aliwahi kufanya kazi kama sikosei na kampuni ya kijapan ya ukandarasi iliitwa KAJIMA ambayo ilitengenza barabara ya SONGEA ..MBINGA kiwango cha changarawe miaka ya nyuma japo za ndaani mama alishaanza kumtenga baba wakati anataka ubunge viti maalum 2000 na mzee hakutaka aingie kwa siasa
 
Nyooooo! Ni mawazo na hisia zako. Nimsimange marehemu ili ajibu vipi.Kama ni kusimanga, nimewasimanga marehemu nyinyi.
Hilooooooo aibu yako, mada uliyoileta tayari ni kumsimanga marehemu tosha unahoji eti kama alikua 'nunga yembe' ikusaidie nini wewe kwenye maisha yako ya kila siku, kuweni na aibu mnapenda sana kujionesha uduni wa akili na utu mbele za watu
 
Hilooooooo aibu yako, mada uliyoileta tayari ni kumsimanga marehemu tosha unahoji eti kama alikua 'nunga yembe' ikusaidie nini wewe kwenye maisha yako ya kila siku, kuweni na aibu mnapenda sana kujionesha uduni wa akili na utu mbele za watu
Woooi! Naona umeishiwa! Nenda kaungane naye basi kama unampenda na kumlinda sana mpendwa wako. Senzi we!
 
Back
Top Bottom